baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,778
- 2,052
- Thread starter
- #21
Aelewi kitu huyuHujaelewa wapi? Ananunua gari ambazo lazima zina changamoto zikirekebishwa vizuri anauziwa mwingine akapambane huko! Unafkiri kila mtu barabarani kaagiza gari ya mil25 sio?
We ukitaka gari mpaka za laki 7 zipo! Ni ww tu..![]()