Watoe majibu, wana nchi wanalia wanataka kufunga tena biashara sababu ya madeni ya zamani, mtu alishindwa kulipa deni akafunga biashara akapotea, amepata matumaini ya kuanza upya kutokana na agizo la MAMA, kwamba madeni zaidi ya miaka 5 asamehewe aanze upya. Waziri mkuu nae akasema hivyo hivyo...
MAMA alitoa msamaha kwa wafanya biashara walio na madeni ya zaidi ya miaka 5, lakini wakienda TRA kwa ajili ya kuendeleza biashara zao waendelee kulipa kodi wanakutana na deni na wanatakiwa walipe tena, wakati huyu mtu alipotea miaka yote hiyo shauri ya kushindwa kulipa madeni. Sasa hamuoni kama...
Mimi nimetumiwa sms ya kudaiwa kodi, na kodi nilishalipa tangu mwanzo wa mwaka, ni kawaida huwa nalipa full mwaka mzima, kuna namba za simu wameziweka kwenye hiyo sms kwamba niwasiliane nazo kama kuna maelezo, hizo namba zinaonyesha zipo diverted na huko hazipatikani.
Leseni haitumiki vipi zanzibar, mbona tunatumia Leseni za Tanzania kwenye nchi nyingine kama Kenya, Zambia, Congo, Burundi, Rwanda, n.k. Au sijaelewa mimi
Nilichojifunza hakuna kitu kibaya kama kutaka kumaliza kila kitu mwenyewe, kuona wengine hawajui kitu, na zaidi kutaka kusifiwa kwamba wewe ni kiboko, wakati huo wewe ndio umeshika mpini. Wengi watakupa sifa utakazo ili kujinusuru na mamlaka yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.