Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

Never 200k simu nzuri! Trust me never.. Matatizo yatakuwa yaleyale baada ya muda na kwa vyovyote vile
Storage haitazidi 64gb
Ram haitazidi 4
Haiwezi kuwa 5G
Itakuwa sio android 10+ etc

Sent using Jamii Forums mobile app
😂 5G kaka inategemea na matumizi yake kwa mtu ambae anamanufaa na simu atanunua ya manufaa yake so kama anataka ya hivyo na ajipinde yani ajifanyie unyama!
 
Simu nyingine za urithi nyingine za zawadi kuuza ni ngumu na kuna baadhi ya watu si wa kupenda kuuzauza vitu.. Unajua kuuza kitu nacho ni kipaji na ni sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kaka, mi tangu nimeanza kumiliki simu sijawahi kuuza, huwa naweka tu, zimejaa tangu enzi ya Nokia jeneza, kweli kuuza vitu ni kipaji.
 
Kwa infinix na Tecno huwa zina kisirani inaweza tu kuamua kuwa ya moto bila sababu utashangaa unahisi paja linaungua kumbe sim inchemka huko mfukoni
 
Nunua simu yenye storage kuanzia 126gb kwenda mbele.
Simu za kuanzia 32, 64gb zimeshapitwa na wakati labda ufanye kitochi
Wabongo bana. Wakishika hela kila mmoja anaona ana hela.
Mimi mwenyewe natumia TECNO W3 inanifaa kwa matumizi yangu.
1. Hapo apakue phone cleaner zipo play store ili aweze kuclear junk files
2. Aingie apps angalie app zenye mb nyingi.
N.B
Mtu ana simu kubwa nzuri ila matumizi yake ni kuchat facebook, whatsapp, instagram, JF, Tiktok na youtube na huko kote anasoma umbeya (udaku), anaangalia movies, video za ngono na simulizi za kufikirika (Peniela). Hawezi kusoma au kuangalia video vitakavyokupa ujuzi wowote.
Sikupangii matumizi ila tuheshimiane.
 
Ukiachana na ushauri wa wadau wa kufuta cache na data kwenye apps hasa zinazotumia nafasi kubwa kama Whatsapp mf.

Unaweza kwenda kwenye File manager na kuandika MEDIA kwenye uwanda wa searching space halafu zitakuja record zisizo na msingi za Whatsapp hasa then uifutilie mbali.

NB:Nenda palipoandikiwa Back ups
 
Back
Top Bottom