Recent content by Billionaire to be

  1. Billionaire to be

    Fiesta kuzuiwa: Clouds wanaweza kuishtaki Manispaa na kudai fidia ya mabilioni, maamuzi yao yanaichafua awamu ya tano

    kesi? kesi? clouds watadhubutu kuishtaki serikali? je record zao za TRA zipo vizuri? hawana makandokando? kesi itawarudia na watalia na kusaga meno
  2. Billionaire to be

    Jinsi ya kudownload subtittles in movies and series!!

    im eniandikia no subtitle selected
  3. Billionaire to be

    Huyu bwana kaumia sana mimi kuolewaa

    wewe ndio kilaza, haiwezekani umeolewa halafu bado unawasiliana na maex wako huo ni umalaya. wablock wote kila mahali shenzi type
  4. Billionaire to be

    Rais Magufuli: Tutanunua Korosho kwa Tsh.3,300/=, JWTZ ihakikishe kila ghala linalindwa na Wakulima wanalipwa haraka bila usumbufu

    hata kwenye kitabu cha biblia imeandikwa Je unaweza kuanza kujenga msingi wa nyumba bila kujua gharama ya msingi na nyumba? mpaka Rais ametoa uamuzi huo ameshapiga hesabu hela itapatikana vipi. kwani pesa ya kununua ndege ilitoka wapi?
  5. Billionaire to be

    Wenzangu mlivuka vipi haya maumivu makali ya kuachwa?

    simple kumsahau 1. Focus kwenye mambo yako jiweke bize na kazi na mazoezi 2. kata mwasiliano naye kabisa even block no yake 3. fahamu kwamba hiyo hali ya kutaka kurudiana naye ni 10% ya maamuzi ya kuachana naye 4. usitongoze demu kwa sasa jipe muda angalau 1 year. 5. ukimkumbuka basi kumbuka...
  6. Billionaire to be

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    nimekuwa nikiona video youtube maisha ya mabillionaire waliotajirika kwa FOREX trade wnaonyesha majumba, magari na vitu vya gharama walivyochuma kupitia forex, lakini sijwahi kuona mabillionaire wa SOCCER BET ina maana tunaobet tunaliwa tuu hakuna matajiri wa bet?
  7. Billionaire to be

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mrusi anakuacha uleeeeeeee yeye anakusubiria kwenye kona na rungu mkononi, anakupiga rungu moja tuu chaliiiii
  8. Billionaire to be

    Forex trading short course

    hhahahahaha kabisa.
  9. Billionaire to be

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hahahahaha sure broo. mimi huwa sipasui kichwa natufata team zangu 2 zenye probability kubwa ya kushinda na zenye odd ya 1.05 double chance, total odd 1.1 naweka 500,000 napata faida ya 45,000 kila siku.
  10. Billionaire to be

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    haiwezekani inter tunawapa morota na pesa juu.Abromo ameshaona pengo kubwa sana mbele atamwaga pesa mingi ya kumchukua. na icardi ana uhakika akitua chels hakosi namba
  11. Billionaire to be

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    haiwezekani inter tunawapa morota na pesa juu.Abromo ameshaona pengo kubwa sana mbele atamwaga pesa mingi ya kumchukua. na icardi ana uhakika akitua chels hakosi namba
Back
Top Bottom