Naomba kufahamishwa bei gani naeza pata trailer kichanja zile used ambazo imported au zile kutoka kwa mtu hapa bongo zile za kichanja. Je, kwa bajeti ya milion 15 naeza pata trailer nzuri kabisa?
Natanguliza shukran zangu.
Habari zenu wakuu. Katika kupitia mawazo ya humu na research yangu ndogo nilofanya niliweza kufungua barbershop yangu maeneo ya Sinza Mori. Toka nimefungua hii ni wiki ya 2 nimeanza wiki ya tatu lkn kusema ukweli biashara imekuwa ya kawaida sana yani tofauti hata na malengo yangu. Ningependa...
Habari zenu wakuu nauliza hivi ni generator gani na yenye uwezo gani kwa matumizi ya barbershop na tafadhali ningependa kujua bei zake.
Iweze kusukuma vitu kama ac, water heater and mengineyo.
kaka mamobo vp? ningependa kujua bei ya LG G5 sh au used but in excelent condition iphone 6s or s+ ni ngap kwa sasa hapo dukan kwako coz kwa sasa nipo mkoan natarajia kuja dar mwezi january mapema. Na vp hzo simu zako ni international versions coz sometime unaeza chukua simu iliyotengenezwa in...
tafadhali jamani wakuu nilikuwa naomba kama kuna mtu anaifaham hiyo association hapo juu. sababu niliona tanagazo lao pale zoom lenye heading ya graduates entrepreneurship project hivyo nimepata sms yao iknitaka kuhudhulia project presentation itakayofanyika ofisini kwao maeneo ta oysterbay. so...
Wakuu tafdhali naomba kujua kuhusu kodi, ni kwamba tofauti na dhl hizo kampuni nyingne za usafirishaji kama posta na nyingnezo nazo pia suala la kodi ni lazima ulipie?
Kwa mfano nimeagiza simu au nguo za kuvaa labda moja hii imekaaje wakuu naomba kujuzwa maana nimekuwa inspired sana na hii...
Jamani inawezekana kupanda pamoja zao la ufuta na mbaazi na pia matokeo yake yakoje kwa kila zao. Tafadhali naomba nijuzwe sababu nahitaji kufanya project ya kilimo mwaka huu.
Wadau wangu naomba kufaham comparison ya hizo simu hapo juu ktk ubora wake na pia naomba ushauri simu gani ni nzuri kuwa nayo kwa maana ya kununua kati ya hizo maana katika kufatilia kwangu naona specification nying zinafana.
Sasa nashindwa kufanya uchaguzi sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.