Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Week ya 2 ushaanza kulia boss?
Komaa kwanza tengeneza jina
Komaa kwanza tengeneza jina
Habari zenu wakuu. Katika kupitia mawazo ya humu na research yangu ndogo nilofanya niliweza kufungua barbershop yangu maeneo ya Sinza Mori. Toka nimefungua hii ni wiki ya 2 nimeanza wiki ya tatu lkn kusema ukweli biashara imekuwa ya kawaida sana yani tofauti hata na malengo yangu. Ningependa kufaham je mwazo wa biashara hii ndivo unavokuwa au itafika mahali mambo yatabadilika na kuwa sawa.? Natanguliza shukrani zangu kwenu wakuu
Kaka nimeajiri watu wapo hapo wanaendesha ndio hvo kila siku napata hzo report za kawaida.Mkuu hapo kwanza ungetuambia kama umeajiri watu au unanyoa mwenyewe. Kwa ufahamu wangu mdogo ni kwamba vinyozi wengi wanapohama saloon huhama na wateja wao. Kama unanyoa mwenyewe tengeneza kwanza mtandao wako wa wateja ila kama umeajiri jaribu kuzungumza na vinyozi wako.
Yaah kipo kila kitu kaka kasoro full body massage tu.Umeweka huduma gani? Mfano scrub maana sinza saloon zimejaa tele
Kaka nimeajiri watu wapo hapo wanaendesha ndio hvo kila siku napata hzo report za kawaida.
Nashukuru saana mkuu ubarikiweZungumza nao vzr. Usitumie lugha kama boss bali zungumza nao vzr kwa lugha ya kirafiki. Pia kama unapata nafasi si vibaya kumaliza siku ukiwa hapo ili kujionea mwenyewe biashara inaendaje. All the best mkuu
Amina karibu sana mkuuNashukuru saana mkuu ubarikiwe
Kwenye kona pale...inatazamana na Big born? Mana kuna saloon nmeiona pale mpya mpyasalon iko pale karibu na La Chaaz pub Golden Crown Barbeshop
Kingine funga cctv camera.. Ndo itaujua ukweli
Good idea...!Kingine funga cctv camera.. Ndo itaujua ukweli
Unajua kunyoa?Wakuu vipi naomba nipatiwe msaada wa mchanganuo wa kuanzisha saluni ya kiume
Kila mwanzo ni mgumu boss, biashara zaku subiri mteja aingiye zina changamoto sana. Ila kwa ushauri, kutokana vile saluni bado mpya, fanya uigawe Mara 2. Iwe upande wakunyowa na kaupande kadogo ka wakina Dada, kusuka na Kutengeneza Dread. Hapo utakuwa umepiga ndege wa 2 kwa jiwe 1. Mori nisehem nzuri sana kibiashara, nilisha wai kufunguwa saluni hapo hapo mori, maeneo ya Meeda Bar. kwa ushauri zaidi ni check PM.Habari zenu wakuu. Katika kupitia mawazo ya humu na research yangu ndogo nilofanya niliweza kufungua barbershop yangu maeneo ya Sinza Mori. Toka nimefungua hii ni wiki ya 2 nimeanza wiki ya tatu lkn kusema ukweli biashara imekuwa ya kawaida sana yani tofauti hata na malengo yangu. Ningependa kufaham je mwazo wa biashara hii ndivo unavokuwa au itafika mahali mambo yatabadilika na kuwa sawa.? Natanguliza shukrani zangu kwenu wakuu