hiyo ilikuwa 2004 pale mwenge sec sgd,walikuwepo maticha enzi hizo m1anajiita mwana wa adam,donge,horse power mayombo,muna,siku za disco ilikuwa ni shiddah madem zetu na wao walikua wanawamendea so baada ya debe wakiwanasa mmekumbatiana pondini kazi mnayo,sitaki kukumbuka maiko barantanda...