Soma maajabu ya mwezi wa 8 mwaka 2014

Soma maajabu ya mwezi wa 8 mwaka 2014

Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.

Hongera kwa utafiti
 
Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.

Maoni yangu ni kwamba, nao utapita tu....
 
nimeichukua HAPA

Julius S. Mtatiro
IJUMAA 5, JUMAMOSI 5 NA JUMAPILI 5;

Katika mwaka huu, mwezi wa Nane(Agosti) una jumla ya ijumaa tano (5 fridays), jumamosi tano (5 saturdays) na jumapili tano (5 sundays). Jambo hili hutokea mara moja kila baada ya miaka 823. Mara ya mwisho lilitokea mwaka 1191 na mara nyingine litatokea mwaka 2837 ambapo mjukuu wako, kitukuu chako, kilembwe chako na kining'ina chako watakuwa kaburini kama wewe.

Unapoongelea mwaka 2837 unaongelea mwaka ambao Tanzania itakuwa tofauti sana, wakati huo naamini dhahabu itakuwa ilishaisha, tutaekuwa tukiendesha uchumi kwa gesi na mafuta….Goodmorning folks!
 
Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.
maoni yangu ni kuwa wewe hujui geography.... Hizi tarehe hazitokei by chance....zipo wazi na very open....ninicha ajabu kuwa siku 5 ijumaa,jmos na j2? Angalia mwakani january kuna hzo cku unazoshishadidia....afu umedanganywa at zilitokea miaka 252 iliyopita? Angalia mwaka 1997 then futa hiyo 252. In short hakuna cha ajabu chochote kile
 
Jephta last time was March 2013 and next time will be May 2015..so I don't know which calendar are you talking about.

May be he is talking about the occurrence of the event in the same month!
 
Hii ndo kalenda yenyewe
 

Attachments

  • 1407406698787.jpg
    1407406698787.jpg
    95.8 KB · Views: 209
View attachment 175282
Kalenda yenyewe hii hapa
attachment.php


Du kweli ni maajabu kwani Wachina wanasema ni kila baada ya miaka 823
maoni yangu ni kuwa wewe hujui geography.... Hizi tarehe hazitokei by chance....zipo wazi na very open....ninicha ajabu kuwa siku 5 ijumaa,jmos na j2? Angalia mwakani january kuna hzo cku unazoshishadidia....afu umedanganywa at zilitokea miaka 252 iliyopita? Angalia mwaka 1997 then futa hiyo 252. In short hakuna cha ajabu chochote kile
ndugu yangu hii siyo Jiografia Pota tumuia akili kidpgo utagundua maajabu ya NUSU MWEZI MAPUMZIKO siku 15 na siku 16 za kazi
ni wiki 3 mfululizo kwa mwezi mmoja
kuwa Ijumaa, Jumamosi na Jumapili (Mapumziko)
kwa huo mfano wako mbona hata mwezi Julai 2014 unajaa Jumanne Jumatano na alhamis?
na ni kila baada ya MIAKA 823 na sio miaka 252
 
Last edited by a moderator:
August ya mwaka 1997, 2014 na 2025 zote zinafanana, hii habari ya kusema mara ya mwisho ilikuwa miaka elfu ngapi iliopita na ijayo itakuwa baada miaka mia ngapi sijui wamepataje ? Au kuna kitu hatujaelewa ?
 
Maajabu mengine ya mwez huu ni mwezi wenye siku yangu ya kuzaliwa, hehe
 
Kuna mtu ck 1 aliniambia kuwa ukiwauliza watu wazima waliosona 1+1 huenda majib yakatofautiana,

Lakin ukimuuliza mtoto swli hlo jib ni rahisi tu 2.

Ss hapo ndo utajua tulivyo na uelewa tofauti, maana mm sion kama kuna cha ajabu kumbe kunamtu anaona mwezi huu unamaajb kisa tu ijumaa ziko5, duh kwel akili ni nywele kila mtu anazake.
 
mbona sept itakuwa na j3 5, j4,5 na j5,5? hapo utasemaje?
 
Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.


Mbona mwezi uliopita, tuma4, juma5, na alh zilikua 5 each, hukuanzisha thredi?
 
Back
Top Bottom