Huko vijijini kuna mambo ya ajabu sana ndugu zangu, watu wana wivu sana, ukijaribu kufanya hamjo lolote la maendeleo it’s either unaondoka ww au wale wanufaika wako, this may sound as joke but believe me haya mambo yapo sana especially vijijini.
Mbowe Ndio amekuwa target kuu ya watawala na sio chadema as taasisi, ccm wanajua akiondoka Mbowe wengine ni rahisi sana kuwa control na Baadae kuua chama km ilivyo kwa TLP, NCCR CUF nk
Tuna mradi wa viwanja maeneo ya mwasonga Kigamboni, anahitajika mkandarasi wa barabara ambae atajenga barabara za ndani ya mradi na sisi tutampa sehemu ya ardhi/viwanja vilivyopimwa.
Mradi Upo sehemu Nzuri ssna.
DM km Upo serious.
Ukipata barabara ya Kilwa kuanzia Central police hadi mbagala zimewekwa taa Hivi karibuni, hizi taa zimeweka kila baada ya kila baada ya meta 50-100, zinasababisha foleni kubwa sana, mbaya zaidi nyingi hazipo kwny junction zaidi ya vivuko vya waenda kwa miguu. Wahusika hasa temesa waliangalie...
Km unaamini katika dini yyt utagundua kuwa mitala ni asili ya kiumbe yyt wa kiume, wanaume tumeumbwa kuwa na mahusiano na mke zaidi ya mmoja, iwe ni mke rasmi au la ni mchepuko.
Nyie Wanawake mnaodai haki sawa Ndio mnaishia kuzalishwa bila ndoa.
Hata ingekuwa mm nisingekubali binti yangu aolewe na kabila lako Maana ni wavivu, ni omba omba Kwa asili yenu, m1 akifanikiwa kidogo tu ukoo Mzima unahamia kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.