No, this is where you get it wrong. Kuwa mwanaCCM, sio shida kabisa, au kuwa Polisi, tatizo ni kutotumia ile Public Figure kukemea maovu yanapotokea.
Hawa wanaCCM mashabiki wao personally wala hawana shida, ila kuna few elements ambazo ni rogue na zinapata kiburi pale zisipokemewa. Hivu...