Recent content by Bigmaaan

  1. Bigmaaan

    Kijana, don't settle with your agemate

    Ila mchizi ana roho ngumu sana. Pale mimi hata mnara hauwezi soma aise.
  2. Bigmaaan

    John Heche: Tusiposikilizwa, tutaitikisa nchi kwa maandamano; Lissu aachiwe huru

    Kaka, wewe unaona ni sahihi kwa Serikali kuwa juu ya Sheria?
  3. Bigmaaan

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Kesho Mgahawani nitaagiza Robo kilo ya Chai.
  4. Bigmaaan

    The Financial Times: Iran inaweza kutoka kwenye hii vita ikiwa nchi yenye nguvu hatari zaidi

    Swali lako ni zuri sana — linaonyesha unachambua mambo kimantiki 👍 🔍 Kwanza: Hiyo 20% ni kubwa kuliko inavyoonekana Mfereji wa Strait of Hormuz hupitisha takriban 20% ya mafuta yote yanayouzwa kimataifa (global traded oil) — sio tu mafuta yote yanayozalishwa duniani. 👉 Hii ni tofauti muhimu...
  5. Bigmaaan

    Masikitiko: Televisheni za Tanzania zapoteza Watazamaji wa ‘Taarifa ya Habari’

    2014 to 2015. Bar nyingi zilikuwa na utamaduni wa kuweka Taarifa ya habari kila ifikapo saa 2 usiku. Siku hizi ni Amapiano tu.
  6. Bigmaaan

    Baada ya kusema hajawahi Kuona Makonda akiongea Kingereza. Makonda aamua kumwaga ung'eng'e akiwa na Mchina kama majibu kwa wanaotilia Shaka uwezo wake

    Kama tuna viongozi wanapambana kuprove kuwa wanaweza ongea kiingereza, bado tuna shida sana.
  7. Bigmaaan

    Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

    Mwaka 2017 nilikuwa naongea na sista mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye ile kampuni ya Decoder ya Sahara media(sikumbuki jina)—aliniambia kuna Mwezi walilipwa mshahara ina advance wa Miezi Mitatu. Kisha wakapitishwa miezi mitano kavu. Tatizo kuu la Sahara Media ni UFAMILIA. Management ya...
  8. Bigmaaan

    Orodha hii ya matokeo ya Form 4 kwa mikoa imenistua. mikoa tunayoichukulia poa inaongoza kitaifa na mingine imebaki historia haina tena uwezo

    Dar Es Salaam is a complex place. Iacheni tu. Nikama mkijadili watenda dhambi, hamuwezi waweka kundi moja na shetani.
  9. Bigmaaan

    Jaribo la TRUMP kutaka kumkamata KHAMENI, Ulimwengu una cha kujifunza kuhusu RUSSIA

    Lakini ni upumbavu na ujuha kufikiri kuwa Mrusi, Mchina aua Mmarekani akupende. Akupende wewe ni raia wake? Wote hao wanapambania maslahi ya mataifa yao na watu wao. Salama ya hawa viongozi weusi ni mbili tu. 1. Kuheshimu raia wao - maana watawalinda. 2. Kuishi kwa akili na Mataifa yote...
  10. Bigmaaan

    Mke asimulia alivyompoteza mume wake vurugu za Oktoba 29,2025

    Halafu mpuuzi mmoja anasema zile Video za Mange ni AI
  11. Bigmaaan

    Kama unadhani siku yako Mbaya, huyu ni zaidi

    Halafu Airtime zamani ilikuwa fresh maana kulikuwa kunakuuza. Nakumbuka hii ilikuwa njia ya kutuma pesa, mtu anakutumia vocha, kisha unaenda uza. Hivi Luku ni refundable?
  12. Bigmaaan

    Kama unadhani siku yako Mbaya, huyu ni zaidi

    🤣🤣 muhindi anashukuru deni lake limelipwa
  13. Bigmaaan

    Kama unadhani siku yako Mbaya, huyu ni zaidi

    Hahaha. Na unakuta hiyo ndio budget ya mtu kuishi pia.
  14. Bigmaaan

    Kama unadhani siku yako Mbaya, huyu ni zaidi

    Unaweza ukapiga yowe.
Back
Top Bottom