Kinachosikitisha ni ujinga alionao mwandishi ni kushindanisha siasa na mpira. Hajui kuwa Mpira ni matokeo ya siasa. Hajui kuwa siasa ndio inaamua kila kitu kuhusu wanadamu.
Ukweli ni kuwa, sisi wanadamu ni Viumbe wa imani. Tunaamini kuwa maisha yetu yatakuwa bora kupitia Mungu wenu na viongozi ambao tunawaamini na kuwakabidhi fedha na rasilimali zetu ili watuletee maendeleo.
Sasa, ya Mungu ni makubwa zaidi, ya kwetu sisi ni ya Viongozi wetu. Mimi naamini wewe...
Burglars, halafu maridhiano tena? Kama ni Burglars wa CHADEMA, Why Maridhiano na vyama vingine vya siasa? Hauoni kama hoja hoja yako haina mantiki na kuna jambo unakwepa kulisema?
Unadhani unaweza kuitetea CCM kwa hoja za maana? Utazitoa wapi hoja za maana? Hata ungekuwa wewe ungezitoa wapi hizo hoja za maana? Ni kazi ngumu kuitetea CCM ukiwa na akili huru.
Sasa kaka, kama unasema ni wahuni na vibaka walifanya ghasia, si washughulikiwe kisheria tu na mahakama? Yaani vibaka wafanye fujo, then vyama na serikali vikae kuridhiana?
Tulikuwa na Compromising Opposition chini ya Mbowe, CCM akaamua kuua. Sasa ni mwendo wa Militant Opposition. Najua hizi ni siasa ngeni kwetu, ila sio ngeni duniani. Na ndizo huleta mabadiliko ya kweli.
Siku ACT na Zitto kabwe wakijiunga na aina hii za siasa, itaongeza kasi ya mabadiliko ya...
Ukisoma historia ya watu na nchi mbalimbali, utaona tawala za kifashisti zina tabia za kufanana.
So, hata tulipo si pageni, na tunapoenda panatabirika ukiangalia pattern za maeneo mengine. Kwetu sisi kifuatacho ni Vurugu kubwa na Kuanguka kwa utawala huu.
Kwenye Filamu ya Godfather II, Kuna scene moja, Raia 'muasi' anajilipua kwenye gari na kuua Polisi wa Dikteta Batista.
Michael Corleone anawaambia Madon wenzie kuwa, 'waasi' watashinda. Wenzake hawakumuamini, usiku ule ule Batista akakimbia nchi. Na castro akatwaa Madaraka.
Hii picha inaeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.