Recent content by Bigmaaan

  1. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Augustino Lissu, mtoto wa Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress

    No, Lissu sio Special, he is a threat kwa Mafashist ndio maana yuko ndani na sio wengineo.
  2. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Naamini Vifo vya Oktoba 29 vilikuwa vingi zaidi kuliko wanavyosema

    Kinachofurahisha, haya unayaandika hapa, kwa ground unajua ukweli. So, ni kujilisha upepo tu.
  3. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatikisa Arusha Mjini

    Nikuhakikishie jamaa, huu mchezo wanaoufanya mwisho wake ni Mbaya sana. Nilidhani Oct29 walipata somo. Ila nadhani hamkujifunza. Mbegu hii imeanza kupandwa toka 2015. 2025 imejitokeza mche, mkadhani mmeukata kumbe kwa chini unazidi kujiimarisha mizizi, ukija kutoka tena, hamtaamini macho na...
  4. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Pole sana Mh Temba, Shetani hana Rafiki

    No, this is where you get it wrong. Kuwa mwanaCCM, sio shida kabisa, au kuwa Polisi, tatizo ni kutotumia ile Public Figure kukemea maovu yanapotokea. Hawa wanaCCM mashabiki wao personally wala hawana shida, ila kuna few elements ambazo ni rogue na zinapata kiburi pale zisipokemewa. Hivu...
  5. Bigmaaan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana, don't settle with your agemate

    Ila mchizi ana roho ngumu sana. Pale mimi hata mnara hauwezi soma aise.
  6. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tusiposikilizwa, tutaitikisa nchi kwa maandamano; Lissu aachiwe huru

    Kaka, wewe unaona ni sahihi kwa Serikali kuwa juu ya Sheria?
  7. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Kesho Mgahawani nitaagiza Robo kilo ya Chai.
  8. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania The Financial Times: Iran inaweza kutoka kwenye hii vita ikiwa nchi yenye nguvu hatari zaidi

    Swali lako ni zuri sana — linaonyesha unachambua mambo kimantiki 👍 🔍 Kwanza: Hiyo 20% ni kubwa kuliko inavyoonekana Mfereji wa Strait of Hormuz hupitisha takriban 20% ya mafuta yote yanayouzwa kimataifa (global traded oil) — sio tu mafuta yote yanayozalishwa duniani. 👉 Hii ni tofauti muhimu...
  9. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Masikitiko: Televisheni za Tanzania zapoteza Watazamaji wa ‘Taarifa ya Habari’

    2014 to 2015. Bar nyingi zilikuwa na utamaduni wa kuweka Taarifa ya habari kila ifikapo saa 2 usiku. Siku hizi ni Amapiano tu.
  10. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Baada ya kusema hajawahi Kuona Makonda akiongea Kingereza. Makonda aamua kumwaga ung'eng'e akiwa na Mchina kama majibu kwa wanaotilia Shaka uwezo wake

    Kama tuna viongozi wanapambana kuprove kuwa wanaweza ongea kiingereza, bado tuna shida sana.
  11. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

    Mwaka 2017 nilikuwa naongea na sista mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye ile kampuni ya Decoder ya Sahara media(sikumbuki jina)—aliniambia kuna Mwezi walilipwa mshahara ina advance wa Miezi Mitatu. Kisha wakapitishwa miezi mitano kavu. Tatizo kuu la Sahara Media ni UFAMILIA. Management ya...
  12. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Orodha hii ya matokeo ya Form 4 kwa mikoa imenistua. mikoa tunayoichukulia poa inaongoza kitaifa na mingine imebaki historia haina tena uwezo

    Dar Es Salaam is a complex place. Iacheni tu. Nikama mkijadili watenda dhambi, hamuwezi waweka kundi moja na shetani.
  13. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Jaribo la TRUMP kutaka kumkamata KHAMENI, Ulimwengu una cha kujifunza kuhusu RUSSIA

    Lakini ni upumbavu na ujuha kufikiri kuwa Mrusi, Mchina aua Mmarekani akupende. Akupende wewe ni raia wake? Wote hao wanapambania maslahi ya mataifa yao na watu wao. Salama ya hawa viongozi weusi ni mbili tu. 1. Kuheshimu raia wao - maana watawalinda. 2. Kuishi kwa akili na Mataifa yote...
  14. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Mkataba wa Kiluwa wa Trilioni 17 wa kujenga viwanda Pwani ni zaidi ya Utajiri wa Mo Dewji (Tajiri Namba Moja Afrika Mashariki)

    Trilioni or Bilion? All in all it's a good move kama ikifanikiwa.
Back
Top Bottom