Recent content by Bigmaaan

  1. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Kinachosikitisha ni ujinga alionao mwandishi ni kushindanisha siasa na mpira. Hajui kuwa Mpira ni matokeo ya siasa. Hajui kuwa siasa ndio inaamua kila kitu kuhusu wanadamu.
  2. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania 𝗠𝘄𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘄𝗮 𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝗔𝘀𝘀𝗶𝘀𝘁𝗮𝗻𝘁 𝗶𝗻𝗮𝗼𝗻𝗱𝗼𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗮 𝗔𝗻𝗱𝗿𝗼𝗶𝗱 😱

    Simu yangu nilipo Update to UI 8.5 ndio nimeona hiyo feature. Infact ni nzuri Gemini AI sababu iko accessible kwa urahisi na interactive zaidi.
  3. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Ukweli ni kuwa, sisi wanadamu ni Viumbe wa imani. Tunaamini kuwa maisha yetu yatakuwa bora kupitia Mungu wenu na viongozi ambao tunawaamini na kuwakabidhi fedha na rasilimali zetu ili watuletee maendeleo. Sasa, ya Mungu ni makubwa zaidi, ya kwetu sisi ni ya Viongozi wetu. Mimi naamini wewe...
  4. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Burglars, halafu maridhiano tena? Kama ni Burglars wa CHADEMA, Why Maridhiano na vyama vingine vya siasa? Hauoni kama hoja hoja yako haina mantiki na kuna jambo unakwepa kulisema?
  5. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Mzee Philipo umezeeka mwili ila Kili bado za kijinga

    Unadhani unaweza kuitetea CCM kwa hoja za maana? Utazitoa wapi hoja za maana? Hata ungekuwa wewe ungezitoa wapi hizo hoja za maana? Ni kazi ngumu kuitetea CCM ukiwa na akili huru.
  6. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Sasa kaka, kama unasema ni wahuni na vibaka walifanya ghasia, si washughulikiwe kisheria tu na mahakama? Yaani vibaka wafanye fujo, then vyama na serikali vikae kuridhiana?
  7. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Kwani wamekoseana nini hadi waridhiane?
  8. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Chama cha AAFP chamjia juu Heche kukiita "chama cha mfukoni"

    Hiki chama chote wote ni wanawake?
  9. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kumchosha na kumpotezea Muda Tundu Lisu utafanya kazi?

    So, hoja yako ni kuwa haya anayofanya Lissu ni kwa ajili ya wazungu?
  10. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania John Heche: Ukitunyima amani tunakunyima amani

    Tulikuwa na Compromising Opposition chini ya Mbowe, CCM akaamua kuua. Sasa ni mwendo wa Militant Opposition. Najua hizi ni siasa ngeni kwetu, ila sio ngeni duniani. Na ndizo huleta mabadiliko ya kweli. Siku ACT na Zitto kabwe wakijiunga na aina hii za siasa, itaongeza kasi ya mabadiliko ya...
  11. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Ukisoma historia ya watu na nchi mbalimbali, utaona tawala za kifashisti zina tabia za kufanana. So, hata tulipo si pageni, na tunapoenda panatabirika ukiangalia pattern za maeneo mengine. Kwetu sisi kifuatacho ni Vurugu kubwa na Kuanguka kwa utawala huu.
  12. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Nyie mmepata mshahara wa mwezi huu wa saba?

    Basi nyie mnawahi sana. Kama mnapokea Tarehe 8 huku Serikalini ni Tarehe 23.
  13. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Tumia site ya zlibrary utavipata huko
  14. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Hata wao walishindwa kuzuia tabasamu lao!

    Kwenye Filamu ya Godfather II, Kuna scene moja, Raia 'muasi' anajilipua kwenye gari na kuua Polisi wa Dikteta Batista. Michael Corleone anawaambia Madon wenzie kuwa, 'waasi' watashinda. Wenzake hawakumuamini, usiku ule ule Batista akakimbia nchi. Na castro akatwaa Madaraka. Hii picha inaeleza...
Back
Top Bottom