Hatuhitaji, “strong president” ila, "strong state” ilipo. Bali Strong state with limited constitutional powers, badala ya kutegemea strong individual president.
Tunahitaji nchi ambayo Raisi ana nguvu, lakini mwenye kudhibitiwa na Bunge na Mahakama.
Hii dhana ya Raisi awe na nguvu sababu ni...
Tatizo hili, lipo kwenye viwanda vingi na makampuni mengi nchi hii.
Mamlaka za kusimamia maslahi ya wafanyakazi nchi hii ni butu kwa makampuni haya sababu, makampuni haya ni ya wanaCCM au ya wafadhili wa CCM, hata ukienda CMA, hawana cha kuwafanya.
Hao jambo kuna kipindi halmashauri walikuwa...
Mimi sipendi utawala wa magharibi kwa dunia, ila ni ujinga kudhani unaweza jitenga na dunia ya magharibu na kufanikiwa. Alishindwa Nyerere hata warusi wenyewe walishindwa.
Kinachosikitisha ni ujinga alionao mwandishi ni kushindanisha siasa na mpira. Hajui kuwa Mpira ni matokeo ya siasa. Hajui kuwa siasa ndio inaamua kila kitu kuhusu wanadamu.
Ukweli ni kuwa, sisi wanadamu ni Viumbe wa imani. Tunaamini kuwa maisha yetu yatakuwa bora kupitia Mungu wenu na viongozi ambao tunawaamini na kuwakabidhi fedha na rasilimali zetu ili watuletee maendeleo.
Sasa, ya Mungu ni makubwa zaidi, ya kwetu sisi ni ya Viongozi wetu. Mimi naamini wewe...
Burglars, halafu maridhiano tena? Kama ni Burglars wa CHADEMA, Why Maridhiano na vyama vingine vya siasa? Hauoni kama hoja hoja yako haina mantiki na kuna jambo unakwepa kulisema?
Unadhani unaweza kuitetea CCM kwa hoja za maana? Utazitoa wapi hoja za maana? Hata ungekuwa wewe ungezitoa wapi hizo hoja za maana? Ni kazi ngumu kuitetea CCM ukiwa na akili huru.
Sasa kaka, kama unasema ni wahuni na vibaka walifanya ghasia, si washughulikiwe kisheria tu na mahakama? Yaani vibaka wafanye fujo, then vyama na serikali vikae kuridhiana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.