Recent content by Bigmaaan

  1. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Hatuhitaji, “strong president” ila, "strong state” ilipo. Bali Strong state with limited constitutional powers, badala ya kutegemea strong individual president. Tunahitaji nchi ambayo Raisi ana nguvu, lakini mwenye kudhibitiwa na Bunge na Mahakama. Hii dhana ya Raisi awe na nguvu sababu ni...
  2. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Martin Maranja: Najutia kumpa mtoto wangu jina la “Freeman”

    Never trust a person, trust a course.
  3. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto na unyonyaji wa wafanyakazi - Jambo Group of Companies, Shinyanga

    Tatizo hili, lipo kwenye viwanda vingi na makampuni mengi nchi hii. Mamlaka za kusimamia maslahi ya wafanyakazi nchi hii ni butu kwa makampuni haya sababu, makampuni haya ni ya wanaCCM au ya wafadhili wa CCM, hata ukienda CMA, hawana cha kuwafanya. Hao jambo kuna kipindi halmashauri walikuwa...
  4. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto na unyonyaji wa wafanyakazi - Jambo Group of Companies, Shinyanga

    Hapo atakuwa ameuza nyumba yake/ndugu aliyoweka dhamana. Hawa sales wanapaswa kuweka dhamana ya nyumbani ili wapate kazi.
  5. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto na unyonyaji wa wafanyakazi - Jambo Group of Companies, Shinyanga

    Hupati hii kazi bila kuweka dhammana ya hatu ya Nyumba.
  6. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Software Developer natafuta fursa ya kazi, projects au washirika wa biashara - nina mifumo 6 niliyoiendeleza

    Venture capitals vipi, ushajaribu?
  7. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania ATCL Yasitisha Kwa Muda Safari za Ndege TC422 na TC423 Dar es Salaam–Moscow

    Mimi sipendi utawala wa magharibi kwa dunia, ila ni ujinga kudhani unaweza jitenga na dunia ya magharibu na kufanikiwa. Alishindwa Nyerere hata warusi wenyewe walishindwa.
  8. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa

    Kinachosikitisha ni ujinga alionao mwandishi ni kushindanisha siasa na mpira. Hajui kuwa Mpira ni matokeo ya siasa. Hajui kuwa siasa ndio inaamua kila kitu kuhusu wanadamu.
  9. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania 𝗠𝘄𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘄𝗮 𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝗔𝘀𝘀𝗶𝘀𝘁𝗮𝗻𝘁 𝗶𝗻𝗮𝗼𝗻𝗱𝗼𝗹𝗲𝘄𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗮 𝗔𝗻𝗱𝗿𝗼𝗶𝗱 😱

    Simu yangu nilipo Update to UI 8.5 ndio nimeona hiyo feature. Infact ni nzuri Gemini AI sababu iko accessible kwa urahisi na interactive zaidi.
  10. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Ukweli ni kuwa, sisi wanadamu ni Viumbe wa imani. Tunaamini kuwa maisha yetu yatakuwa bora kupitia Mungu wenu na viongozi ambao tunawaamini na kuwakabidhi fedha na rasilimali zetu ili watuletee maendeleo. Sasa, ya Mungu ni makubwa zaidi, ya kwetu sisi ni ya Viongozi wetu. Mimi naamini wewe...
  11. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Burglars, halafu maridhiano tena? Kama ni Burglars wa CHADEMA, Why Maridhiano na vyama vingine vya siasa? Hauoni kama hoja hoja yako haina mantiki na kuna jambo unakwepa kulisema?
  12. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Mzee Philipo umezeeka mwili ila Kili bado za kijinga

    Unadhani unaweza kuitetea CCM kwa hoja za maana? Utazitoa wapi hoja za maana? Hata ungekuwa wewe ungezitoa wapi hizo hoja za maana? Ni kazi ngumu kuitetea CCM ukiwa na akili huru.
  13. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Sasa kaka, kama unasema ni wahuni na vibaka walifanya ghasia, si washughulikiwe kisheria tu na mahakama? Yaani vibaka wafanye fujo, then vyama na serikali vikae kuridhiana?
  14. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Kwani wamekoseana nini hadi waridhiane?
Back
Top Bottom