1. West Ham Lampard anakalia chuma cha moto
2. Arsenal sare
3. Villa Lampard anakalia chuma cha moto
4. Man city Lampard anakalia chuma cha moto
LAMPARD OUT MTFK
Nilikuwa namponda Lampard ila sasa nimeanza kumuelewa kwa sababu nimebadilisha mtazamo nimuelewe kama anavyotaka yeye tumuelewe. Nimemuelewa kwanini anampenda Abraham, Abraham bonge la striker ukweli usemwe. Lampard kwa ubora wa mechi ya jana namvalisha viatu vya pep, klopp, anceloti, conte...
Kwangu Abraham hajacost chochote, tuangalie na aina ya mabeki waliomkaba Abraham. Mbona Giroud hajaleta impact yoyote. Matokeo ya sare ni matokeo mazuri sana kwetu. Abraham aendelee kuwa 1st eleven panga pangua, Giroud auzwe January Abraham acheze comfarable.
Mnaomlaumu Abraham kwani Giroud kafanya nini cha maana pale mbele? Nyie mnajua mpira kuliko kocha? Acheni ujinga Abraham katumia vizuri nafasi alizopata sema mipira ya cross ilikuwa inamjia kasi sana huwezi kupiga kichwa kizuri.
Achana nao hao mashabiki oyaaa oyaaa jana tumecheza mpira mzuri sana, kila mchezaji ametendea haki nafasi yake. Hakuna aliyezingua abraham mwenyewe alikuwa anawachachafia pale mbele, mabeki walibana haswa wangemsahau tuu angewafunga. Kama sio Abraham kuumia angetupia lazima. Nachompenda Abraham...
Kama sio Abraham kuwa pale mbele tungefungwa. Abraham alikuwa anawafanya mabeki wa toten wasipande sana. Dogo anakipaji kikubwa sana leo haikuwa bahati yake kufunga. Giroud auzwe January ameingia sub hakuna alichokifanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.