Habari za leo ndugu wa jamii forum, naomba atakaye weza kunifafanulia hili na kunielekeza nini cha kufanya.
Mimi nilikuwa mwalimu wa leseni kwa jina lingine course hii ilikuwa inaitwa crush program. Nilibahatika kusoma degree ya uhasibu mwaka 2010-2013 baada ya kumaliza niliomba kubadilishwa...
Je kama mtu ameajiriwa na serikali kwa kazi ya muda kwa mfano kuna waalimu walisoma kwa muda mfupi wakapata leseni lakini kwenye kujiendeleza wakasoma fani nyingine ambayo siyo ya ualimu, haifai nao kubadilishiwa kada?
Ndiyo lazima kuhakiki vyeti kwani ni moja wapo ya sharti lililowekwa kwenye tangazo. Cha kufanya unatoa copy vyeti vyako unapeleka kwa mwanasheria kucertify then unavi scan ndo unavi attach.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.