Habari za leo wandugu, naomba msaada kwenye public service recruitment portal nimejaza details zote lakini kwenye profile haifikii asilimia Mia moja. Imegotea kwenye asilimia 84.
Habari za leo wandugu, naomba msaada kwenye public service recruitment portal nimejaza details zote lakini kwenye profile haifikii asilimia Mia moja. Imegotea kwenye asilimia 84.
Me Ndo Kwanza Maluwe Luwe Eti Mkuu Na Ww Umeenda Ku Hakiki Vyet Kwa Wakili Ndo Ukatuma Maombia UmefanyajeHabari za leo wandugu, naomba msaada kwenye public service recruitment portal nimejaza details zote lakini kwenye profile haifikii asilimia Mia moja. Imegotea kwenye asilimia 84.
inawezekana mie yangu ipo asilimia 100Haiwezi fika asilimia miamoja...wengi zinachezea hapo tu yaani 70-84,you are okay to go hizo ni nyingi.
inawezekana mie yangu ipo asilimia 100
inafika cha msingi awe nazo kweli 100%...yaani kila kitu kiwe sawa...Apply your vacancy... imetosha kabisa, uwa haifiki 100%
Huku sijawahi kuona labda kwenye watumishi portal ndo wanaweza kuwa na hiyo Huduma.Msaada wadau hv kwenye hii recruitment portal, kuna option ya wanaotaka kuhama toka idara au wizara moja kwenda nyingine?
Sent from my GT-N5100 using JamiiForums mobile app
Ndiyo lazima kuhakiki vyeti kwani ni moja wapo ya sharti lililowekwa kwenye tangazo. Cha kufanya unatoa copy vyeti vyako unapeleka kwa mwanasheria kucertify then unavi scan ndo unavi attach.Me Ndo Kwanza Maluwe Luwe Eti Mkuu Na Ww Umeenda Ku Hakiki Vyet Kwa Wakili Ndo Ukatuma Maombia Umefanyaje
Thump UpNdiyo lazima kuhakiki vyeti kwani ni moja wapo ya sharti lililowekwa kwenye tangazo. Cha kufanya unatoa copy vyeti vyako unapeleka kwa mwanasheria kucertify then unavi scan ndo unavi attach.
duh hii yako ni hatari watu tumeishia 75 huko.upo juu.apply nowHabari za leo wandugu, naomba msaada kwenye public service recruitment portal nimejaza details zote lakini kwenye profile haifikii asilimia Mia moja. Imegotea kwenye asilimia 84.
Mh. Navyo jua me pitisha kwa boss wako kwa barua unayo tuma then ndo waweza kuhama kama kuna nafac ya kuomba kupata kaziMsaada wadau hv kwenye hii recruitment portal, kuna option ya wanaotaka kuhama toka idara au wizara moja kwenda nyingine?
Sent from my GT-N5100 using JamiiForums mobile app
Inatakiwa isiwe chini ya 70℅kwani ikifika mia ndio unaajiriwa mm mbona nimeajiriwa kwa 60%
Strong and positive liar..... Lazima ifike 70>kwani ikifika mia ndio unaajiriwa mm mbona nimeajiriwa kwa 60%