nenda makao makuu ya ofisi za maliasili na misitu MPINGO HOUSE kawaelezee hiyo ishu watakupa utaratibu wa kuhamishia nyoka kwenye hifadhi na mapori ya taifa
nina kama miezi 2 nabet match moja tuu kila siku over 2.5, miezi 2 mfululizo bet zote WON. nastake 20% ya mtaji. nilianza na mtaji wa 10,000 huwa najiulizaga bets zote hizo ningekuwa nastake pesa ndefu ningeshanunua Raum. naunga mkono hoja mtaji mkubwa ndio mpango mzima
ndio maana mimi huwa naamini daudi alikuwa na umri mdogo lakini umbile kwa miaka hiyo alikuwa hashimu thabit, kutokana kizazi chao hakuwa kijana mdogo kama sisi
sio Tanzania 1. HAKUNA TUME HURU YA UCHAGUZI 2. MATOKEO HAYAPINGWI MAHAKANI 3. CCM NA VYOMBO VYA USALAMA NI KITU KIMOJA 4. WATANZANIA WALIO WENGI HAWANA ELIMU YA URAIA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.