si kweli Nimeacha long Time A go , na hata hapa nilipo nimekaa almost two weeks cjasx ,kwaajili majukum na nipo mbali na home so...
, Nikaona Upepo mchafu unataka kunirudia , kupooza shinikikizo nikaukataa nakuupigia uzi Kabisa so , pambana kwa vyovyote kushinda huo ujinga inaharbu nerves za...