Demu kala nauli yangu nikasema huyu akija namkomesha kunako 6x6 basi alivyoingia 18 nikasema leo ntaipiga kama naua nyoka. Dah kilichotokea ile nafika nae geto kwanza nikapiga kimoko cha dk mbili wazungu hao mara likaja bonge la usingizi kuja kuamka ata hamu nae sina nikamwambia tu nenda asee...
Kuna uwezekano makuzi yake yote amekulia boarding schools, hii imesababisha washindwe kumfahamu kwa kina. Kiufupi dogo ni introvert ila wao wanaona ni kama hana muelekeo hivii
Hapo unazungumzia mama yako ambae ni mwanamke wa miaka ilee. Kuna hichi kizazi cha sasa mkuu akimudu kula na kubadilisha kijora na wigi anaona kamaliza kila kitu na hakuna mwanaume anaemsumbua. Kwasasa mambo yamebadilika sanaa ni 1in 100 ndo unaweza kukuta amesoma au ana kipato na akaheshimu ndoa.
Nimeona majina ya vijana wengi wenye degree za udaktari, uuguzi, ufamasia maabara sheria na taaluma nyingine nyingi wameitwa kwenye usaili. Kwahyo una nini cha kuwaambia mkuu
Boxer BM 150 ni nzuri kama wewe una kimo cha wastani. Ninayo tangu 2023 mwanzoni bado iko powa naitumia kwa matumizi yote off road na Rami maana naishi mjini ila shughuli zangu za kiuchumi zinategemea zaidi shambani.
-Ulaji mzuri wa mafuta
-Comfort ability hasa ukizingatia mie sio mrefu sanaa...
Hivi kuna watu bado wanavumilia mambo kama hizi. Mtu anifanyie vitimbi vyote hivyo na bado nimuangalie asee na pamoja na vitimbi vyote eti tuishi kama zamani. Yani mimi
Umemaliza kila kitu mkuu. Hii imemtokea mzee wangu kwa mdogo wake yani baba angu mdogo asee mzee alimpambania sana lakini sasahivi ndie adui yake namba moja yani baba mdogo anafanya kila hila kumrudisha nyuma baba ilihali mafanikio yake aliyeyapanbania ni kaka yake ambaye ni mzee wangu. So sad
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.