Umenikumbusha jamaa Moja kitaa that time all back2014 I remember was my first time na zama dsm kibabe nikafikia tabata aroma kwa bro, tuLIKUA tunaishi na vijana wa mwenye house Mzee Fulani ye alikua aishi hapo
sa wale vijana wake kina Moja alikua chekibob bonge la shabalanks AF mtoto wa kitaa, akapata demu Moja hivi, huyo demu alikua anapiga inshu za mikopo na PESA ilkuepo sa kala sana nauli za muhuni na jamaa NAE kalaa hela za huyo demu ila jama akamaindi kuchunwa sana mzigo anapigwa tarehe, akaona isIWE kesi.
akamuibukia KWAKE na huyo demu sikumbuki wapi jamaa akamtishia kumpiga Akala mzigo kwa nguvu akulizika akabeba na simu za shori mazee akamtupia laini zake akasepa, jamaa alivo tupa stori niliogopa sababu NILIKUA mdogo sikuwa na cha kuchangia jamaa akadai huyo demu Hana cha kufanya hapa mjini.
Kumbe demu mafia kakodi wahuni wakamteka jamaa wakampeleka chimbo jamaa akadundwa alaf akaambiwa anyonye konga la dude Moja litekaji huku anarekodiwa na demu mwenyewe jamaa akatii kuokoa uhai ili video isivujishwe akaambiwa arudishe kila kitu na PESA juu, jamaa aliuza vitu hadi KUMALIZA huo mtiti.