apoo ungeenda kwa mtaalamu wakutumia mashine haichukui dakk chache inawezekana control ya kwenye fen iliguswa ....hili tatizo lilinitokea mm pia gar ilkuwa inazma na kuwasha mpaka ipoe kabsaa ndo unaendelea....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipata supp ya business law first year nkachomoa chaap ..nkapata supp ya audit second year third year management chupu chupu nidakwe wakatuongezea marks nikaponea mdomoni ...aisee Supp n tamu san kama unazijulia !disccssn za supp mnakutana wote vilaza mnaelekezana ad raha , ambao hawajawai...
Natafuta chimbo la hardmaterial ya ujenz kama koleo,sururu,majembe,slesha,shoka n.k nmeangaika week nzma apa karkoo kila ninapooingia nagongana na bei za mkoan kwetu jana nmefanikiwa kuingia goodone lakn nmeambulia maumivu tu wanataka nichukue mzgo kuanzia 5m ...nmekimbia ! tafadhal mwenye...
nakushaur kpnd ambacho unasubiri wakushaur kuhusu biashara embu jafbu kufungua ka kabishara ka dogo ka money transfer weka mpesa 2000000
tigo pesa 2000000
airtel money 500000
hiyo laki tano lipa kodi ya miez mitatu na maintanc ya chmba cha biashara
hautajutia na uhakika ukifanya vzur return...
nenda kamwone superdealer yeyote aliyeko karbu yako ambae atakuwa atakusambazia! lakin anzia na mitungi kg6 kumi na kg 15 kumi :
mfano oryx
*kg 6 10×43000= 430,000
*kg 15 10× 90000= 900,000
*mizani
*leseni ya biashara
* certfact ya fire extnguisher
1)the script-hall of the fame
2)darasa - nishike mkono
3)john cena- my time is now
4) bahati bukuku-wewe ni baba
5) bony mwaitege- mwamin mungu utafanikiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.