Kiukweli Kelvin ni mfano wa kuigwa kwa wachezaji wa Tanzania. Ni kweli kuwa ana madhaifu yake ikiwemo hasira inayosababisha utovu wa nidhamu muda mwingine. Lakini ukiangalia ni mchezaji aliyekaa kwenye kiwango kikubwa muda mrefu na hata sasa ana umri mkubwa kwa takwimu miaka 35 lakini bado ana...
Mtoa naomba nikufahamishe kuwa maisha mfanyakazi au mtu yoyote anayoishi ni sasa sio baadae. Kwa hiyo suala la wafanyakazi kuomba mshahara bora sasa ni sahihi. Pili wafanyakazi mwajiri wao ni serikali kwa nini wasiiombe na wakati tangu awamu ya tano iingie madarakani bidhaa muhimu karibia zote...
Inashangaza aisee kwanza mtumishi wa umma hafukuzwi kazi kirahisi rahisi hivyo. Kama ingekuwa hivyo wengi wangefukuzwa kazi kirahisi mno, nahisi hapa hoja yake ni wake wenye kazi wengi ni wasumbufu.
Wac
Wachezaji wengi wa Tanzania wana vipaji vikubwa tuu ila wana tatizo moja hawajitambui. Ajibu naye kama wengine hajitambui. Namaanisha wanapofikia timu kubwa wakapewa mi sifa, wakaandikwa kwenye magazeti basi wanaona wameishaiteka Dunia kumbe wanatakiwa waende mbali hasa na wapate maslahi ya...
Huyu dogo yuko vizuri, ana skills na anajituma sana kwa umri wake atafika mbali. Wachezaji wa Tanzania wanatakiwa waende nje kwa wingi hata kwenye Nchi za kawaida tu wapate changamoto ya kupambana.
Huyu jamaa ni moja ya marapa bora ambao kwa kweli mziki umewatenda au hawana bahati kabisa. Kama ni kweli gongo basi ni msongo wa mawazo. Wasanii wa bongo wanatakiwa wawe na management itakayowaongoza.
Zimefuzu timu 24, je hizo 30 zilizobaki je? Wakati mwingine tutoe pongezi tumejitahidi hata kufika hapo, kinachotakiwa tu ni kuongeza nguvu kwa serikali na wadau wengine kuwekeza kwenye mpira. Tena mimi ningependa ile bilioni ya maandalizi ya Afcon ingepelekwa kujenga academy ya kisasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.