Opuk Jater
Senior Member
- Dec 25, 2018
- 145
- 130
Kwako MO Dewji,
Kwanza pole kwa jinsi unavyohangaika na wazee wenye "timu yao".
Kwa jinsi inavyoonekana watu wamedhamiria kukuondoa kabisa Simba, maana haiwezekani wale wale waliokupigia makofi (WAZIRI) leo wanageuka na kuongeza vipengele ambavyo mwanzo havikuwepo.
Eti wawekezaji watatu 😂😂😂, watoke wapi? Huyo mmoja tu analiliwa 😂😂😂. Halafu kanuni haisemi kama katokea mwekezaji mmoja tu nini kifanyike..
Inaonyesha kuwa hata ufanye nini watatafuta jinsi ya kukudhibiti tu.
Sasa MO hebu achana na Simba, halafu anzisha MO SIMBA FC, hakika utaondoka na robo kama si nusu yetu. Halafu mwezi December wakati wa dirisha dogo tutawasajili akina Kagere na wenzake wote maana Simba ya KILOMONI haitoweza kulipa mshahara, kwahiyo mikataba itakuwa imeshavunjika..
Hawa akina KILOMONI wanajua ukiondoka wao kwao ndo shehere maana watapiga tu hela ya viingilio, wao hata kama Simba inashuka daraja haiwahusu, wao shida yao ni kupiga.
HALAFU WANA ULE MSEMO WA KUTIA MASHABIKI UJINGA ETI TUNAIPENDA SIMBA YETU HATA KAMA IKO KWENYE HALI MBOVU, KUMBE WAO NDO WANAFAIDI MAPATO YA TIMU....
Sasa hivi umebana maana zile 10% walizokuwa wanatupiga kama akina Aveva na Kaburu sasa hivi hawazipati..
Hapo utaumia bure na hao wazee we we anzisha MO SIMBA FC siye MASHABIKI tupo....
Kwanza pole kwa jinsi unavyohangaika na wazee wenye "timu yao".
Kwa jinsi inavyoonekana watu wamedhamiria kukuondoa kabisa Simba, maana haiwezekani wale wale waliokupigia makofi (WAZIRI) leo wanageuka na kuongeza vipengele ambavyo mwanzo havikuwepo.
Eti wawekezaji watatu 😂😂😂, watoke wapi? Huyo mmoja tu analiliwa 😂😂😂. Halafu kanuni haisemi kama katokea mwekezaji mmoja tu nini kifanyike..
Inaonyesha kuwa hata ufanye nini watatafuta jinsi ya kukudhibiti tu.
Sasa MO hebu achana na Simba, halafu anzisha MO SIMBA FC, hakika utaondoka na robo kama si nusu yetu. Halafu mwezi December wakati wa dirisha dogo tutawasajili akina Kagere na wenzake wote maana Simba ya KILOMONI haitoweza kulipa mshahara, kwahiyo mikataba itakuwa imeshavunjika..
Hawa akina KILOMONI wanajua ukiondoka wao kwao ndo shehere maana watapiga tu hela ya viingilio, wao hata kama Simba inashuka daraja haiwahusu, wao shida yao ni kupiga.
HALAFU WANA ULE MSEMO WA KUTIA MASHABIKI UJINGA ETI TUNAIPENDA SIMBA YETU HATA KAMA IKO KWENYE HALI MBOVU, KUMBE WAO NDO WANAFAIDI MAPATO YA TIMU....
Sasa hivi umebana maana zile 10% walizokuwa wanatupiga kama akina Aveva na Kaburu sasa hivi hawazipati..
Hapo utaumia bure na hao wazee we we anzisha MO SIMBA FC siye MASHABIKI tupo....