Wadau wa jukwaa hili La biashara nilikuwa nataka kufahamishwa au kujifunza juu ya hii biashara ya Popcorn.
Je, Mashine zake zinauzwa bei gani? na je umakini gani unahitajika katika kuziandaa mpaka kuwafikia walaji? Na faida zake zikoje na hasara zake ni zipi walaji wakubwa wa hizi popcorn ni...
G Sam,
Acha kupotesha Dc huyu alikuwa akisumbuliwa na kisukari ni wiki sasa alikuwa akisumbuliwa na kisukari icho kwa siku za karibuni kikawa kimezidi kupanda mpaka kufikia 29 ambapo ndio kimepelekea na kifo chake na siyo hiyo korona au kujifukuzia kama unavyo danganya watu
Sent using Jamii...
Mtaani kwangu usipokuwa unakula msibani wanakucheki tu wazee wa msiba likikupata na wewe siku nao wanakuzilia kula chakula bara
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni muhitimu wa stashahada kutoka katika chuo kimoja cha maendeleo ya jamii hapa nchini .chuo hicho ni miongoni mwa vyuo vilivyopo chini wizara ya afya,maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto ambapo miongoni mwa vyuo hivyo ni monduli, buhare, uyole na vinginevyo.
Sasa lengo la Uzi huu ni...
Graph, Ni kweli kaka ila business idea huweza pia kupatikana kwa kujifunza kutoka kwa mtu ulio ona anafanya kwa iyo itakuwa siyo mbaya hizo idea za wengine ukazitoa ili tujifunze pia
Tupe hizo idea angalau tupate kitu cha kuanzia. idea ambazo hazitahitaji mtaji mkubwa wa kuanzia ili hiyo dhana...
Ni vema kwa vijana kujifunza na kuwapa motisha zaidi unatolea na mifano wa ivyo vitu ili kama walikuwa hawajakifikiria basi unakuwa umewasidia na siyo kusema idea huko zipo ila huku hakuna na huzitolei mifano
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wapendwa katika Mungu, lengo la kuja kwenye jukwaa hili ni kutaka wazo la biashara la kuongezea katika kibanda changu nilichoanza.
Mimi nipo Geita Mjini, mwezi mmoja uliopita nimeanza biashara ya M-Pesa na mtaji usio pungua milioni moja kwa kukodi kibanda ambacho ndipo naendeshea...
Kuruka ruka kwa maharagwe kwenye chungu ndio kuiva kwake
Sijui nani amesema ukweli na yupi ni muongo ila kama Raia wote fanyeni kazi kwa bidiii mpate pesa watoto wenu waitwe wa kishua
Umeshindwa kuajili hata mlinzi wa laki moja nyumbani kwako unakuja kujadili ulinzi wa Rais ili ukamfanye nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.