COVID -19 itatubadilisha sana Waafrika

COVID -19 itatubadilisha sana Waafrika

Ni hivi, watu wetu hawana shughuli za kufanya hivyo matukio kama haya yanapata kipaumbele kwenye ratiba zao. Pia, kuwepo na ratiba za vyakula na vinywaji ni incentive kwa sehemu ya jamii zetu masikini kuhudhuria kwa wingi. Aidha, mila zetu zinamtizama mtu asiyehudhuria msiba kama adui bila kuzingatia factors nyingine. Hivyo mwanangu uhudhurie misiba hakuna namna.
Mtaani kwangu usipokuwa unakula msibani wanakucheki tu wazee wa msiba likikupata na wewe siku nao wanakuzilia kula chakula bara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Kama angeipata hiyo laki nne mwisho wa siku angekufa tu. Kufa kunatokana na sababu ya kufa. Na sababu ya kifo inaweza kuwa ugonjwa na sio kushindwa kumudu ghalama za matibabu. Ingekuwa hivyo matajiri wasingekufa.

Hapana mkuu kuna muda kifo kinatokana na uzembe. Uzembe. Uzembe. Uzembe.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Uuwii, eti nesi aliyemshikia mkoba wakati anajifungua naye atakuwepo, on my way to Machame, mama mdhamini wa ndoa yangu amefariki..🥱🥱

Sent using Jamii Forums mobile app

Na hio ni msiba harusi sasa ndo matatizo mpaka fundi shoeshiner ambae kuna siku tu ulipita bahati mbaya huo mtaa ukampa kiatu akuoshee na yeye atatamani kuja kwenye harusi yako.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na kuna wale wanaokuja special kujionyesha wanamjua mfiwa aunmarehem. Yaani mtu Busy analia kuliko hata ndugu wa karibu. Akitoka hapo anaenda kumuuliza Camera man “Vipi ndugu yangu ulinichukua video wakati nalia? Kama hujanichukua nikae kwa pale ivi nilie unichukue”


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah weweeeeeh mbavu znauma uwiiiiiiiiih

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom