bichwa mtoto
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 274
- 563
Mimi ni muhitimu wa stashahada kutoka katika chuo kimoja cha maendeleo ya jamii hapa nchini .chuo hicho ni miongoni mwa vyuo vilivyopo chini wizara ya afya,maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto ambapo miongoni mwa vyuo hivyo ni monduli, buhare, uyole na vinginevyo.
Sasa lengo la Uzi huu ni kwamba ilikuwa Toka mwezi wa saba mwaka 2019 tulipo maliza elimu ngazi ya stashahada (diploma) mpaka muda huu naandika Uzi hatujaweza kupatiwa vyeti takribani miezi kumi imepita sasa.
Nauliza hawa NACTE je vyeti hutolewa kwa kipindi gani tangu mhitimu anapomaliza. ukizingatia bila kuwa na cheti huwezi pata kazi yoyote ile inayohitaji cheti kuna NGOs kibao nimesha jaribu naambiwa cheti
Na vyuoni vyeti havijafika walimu wanasema tatizo ni Huko NACTE mjue mnatuangusha vijana wenu huku mtaani.
NB USINIAMBIE HAKUNA AJIRA HUWEZI JUA MJOMBA NI HR NGOs GANI
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa lengo la Uzi huu ni kwamba ilikuwa Toka mwezi wa saba mwaka 2019 tulipo maliza elimu ngazi ya stashahada (diploma) mpaka muda huu naandika Uzi hatujaweza kupatiwa vyeti takribani miezi kumi imepita sasa.
Nauliza hawa NACTE je vyeti hutolewa kwa kipindi gani tangu mhitimu anapomaliza. ukizingatia bila kuwa na cheti huwezi pata kazi yoyote ile inayohitaji cheti kuna NGOs kibao nimesha jaribu naambiwa cheti
Na vyuoni vyeti havijafika walimu wanasema tatizo ni Huko NACTE mjue mnatuangusha vijana wenu huku mtaani.
NB USINIAMBIE HAKUNA AJIRA HUWEZI JUA MJOMBA NI HR NGOs GANI
Sent using Jamii Forums mobile app