Recent content by Biboz

  1. Biboz

    Harmonize: Nilipewa Mkataba wa kuonewa na WCB na nilisingiziwa kumroga Diamond Platnumz

    Kwakweli tumechoka sana na habari za domo na nchumali 🙄
  2. Biboz

    Harmonize na Wimbo wake Mtaje

    Kha 😹😹😹😹😹😹
  3. Biboz

    Album ya Harmonize ya High School imetoka tayari

    Album nzima majungu tuu
  4. Biboz

    Nimeshindwa kuacha pombe

    Nenda kwa Mwamposa utapona 😔
  5. Biboz

    Nimefungwa kimapenzi na mke wa mtu nifanye nini?

    Sio kwamba umefungwa , mtu aliefungwa huwa haelewi kuwa amefungwa bwana! Nawewe unapenda kuwa nae!
  6. Biboz

    Alikiba: Nilinusurika kubakwa Marekani!

    Nyiee au ni Mange alitaka mbaka 😹
  7. Biboz

    Hivi mwanaume unaweza kupata mapenzi ya kweli endapo umemzidi mwanamke miaka 13?

    Pesa pesa pesa! Hata ungewa umemzidi miaka 40, ila kama huna unapoteza muda...
  8. Biboz

    Msaada wa mawasiliano ya familia ya Marehemu Fanuel Sedekia

    Mbona imeanza kufanyika jumapili amemaliza semina mwanza....
  9. Biboz

    Baba yangu anamuita mke wangu “wewe”; inaleta mtafaruku

    Kwani wewe lina ubaya gani 🤷🏼‍♀️ ...mpo kwake hivo anaweza anavojisikia yeye
  10. Biboz

    Kupanda kwa gharama za maisha

    Kwa tunaoishi masaki kawaida sanaa mkuu, kuna wakinga, wachaga , wahehe, wahaya.... na sio kwamba masaki kote ni majumba makubwa makubwaa, zingine za kawaida sanaaaa , nandomaana nakushangaa! Kuishi masaki sio kumaliza mwendo ni huzuni kwakweli ! Nakutakia uchawa mwema bye.
Back
Top Bottom