Recent content by Bibboo

  1. Bibboo

    Msichana wangu ananiomba omba sana hela

    Wee mpe tuu bana
  2. Bibboo

    Nataka nikajitambulishe kwao ila anasema hakuna haja

    Haina shida tuendelee kuishi tuu
  3. Bibboo

    Mwaka mmoja bila mtoto. Naelekea kumuoa

    Una uhakika gani wewe huna tatizo mkuu? Weka kithibitisho hapa! Maana wanaume kwa kuwaangushia wanawake majumba mabovu hamjambo
  4. Bibboo

    Mume kufukuzwa kazi kumenifundisha kuchepuka, sasa nimekuwa sugu

    Mungu anakuona dada! Biblia inasema hivi, aliye mwaminifu, ktk lililo dogo sana, huwa mwaminifu hata ktk lililo kubwa sana" hivi tuu mumeo hana kazi unamsaliti kabisaa, je ingetokea amepata ulemavu wa maisha si ndiyo ungeolewa kabisa na huyo bwana" kumbuka Mungu yupo dada kama mngemwambia...
  5. Bibboo

    Kipi unajivunia kwa mpenzi wako wa zamani?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. Bibboo

    Mabinti sasa wako tayari kwa ndoa za mkopo

    Kama umekosa mtu wa kukuoa bora utulie tuu, kulazimisha ndoa haifai.
  7. Bibboo

    Amemuachisha kazi mumewe kawa baba wa nyumbani

    Huyo mke kiboko mwee! Kumgeuza mtoto wa mwanamke mwenzie ndondocha inahusuuuuu?
  8. Bibboo

    Anahisi mume wake ni shoga

    Mmmmh dalili ya mvua ni mawingu, stukaaaaaaaa
  9. Bibboo

    Niliapa kuyafuta machozi ya mke wangu mpaka naiaga dunia

    Hongera sana...ila c kwa barua hii[emoji30][emoji30]
  10. Bibboo

    Wanaume nani kawaroga? Matukio yenu ya kujinyonga yamekuwa mengi

    Hili nalo nenoo[emoji108][emoji108] hivi mtu unaanzaje kujinyonga kisa penzi? Huu ni upuuzi mkubwa
Back
Top Bottom