Twende kuleMekuham
Kumi kwa mmoja mkuu walio wengi wanaona kumuonyesha mke / mpenzi mapenzi ya kweli ni utumwa kumbe sio kweli.kweli mkeo ana bahati,,sikujua kama bado kuna mwanaume wa hivi...
Wapo ndugu wapo sana usikate tamaa, mmoja wapo ni mume wangu, japo hafanyi yote kama ya huyu ndugu ila anafanya mengi yaliyonifanya nibadilishe mentality kuhusu neno "ndoa" ukizingatia nimelelewa na single mama ambapo kwangu nilikuwa naiona ndoa si sehemu salama.kweli mkeo ana bahati,,sikujua kama bado kuna mwanaume wa hivi...
ni maombi tu mpz msikilize Mungu ni mwema.nafurahia ndoa yangu pia maana Mungu amenipa mume mwema na wapo kama hao bado .Nakuombea pia.nashindwa kutoa hongera...Nabaki nalia tuu....Nimpate wapi kama wewe.Oo Lord Jesus!!!!
Amejifungua salama usiku wa Leo katoto ka kiume kenye afya tele.ahsante Mungu wangu ahsante nawe kwa kuniombea kheri nina furaha iso kifaniHongera na kila la kheri kwa mkeo ajifungue salama. Nimeupenda sana uzi wako. Mungu aendelee kuwapigania na mzeeke pamoja kwa furaha nna afya njema.