mbona watu wanasema kua banda za tofali n nyepesi kuharibika sababu nguruwe akiwa anajkuna anakmblia ukutan na anatumia nguvu nying sn sa akiendlea kila siku kufanya ivo ule ukuta anaumalza na unaanza kua na matundu
Habari wana JF
naomba kujuzwa jinsi ya kutengeneza popcorn tam(sukari)..nko na mashine ya kutengenezea ila naishia tu kupika za chumvi sa napenda kuwabadilishia wateja wang flavour il nisiwapoteze...
Mwenye ujuzi naomba anisaidie plz, natanguliza shukran kwa wote mtaochangia iwe kwa ushaur au...
Hebu vuta picha,namna ulivyosota kuipata hiyo degree yako. Miaka isiyopungua 16 imeteketea darasani! Umebeba vidumu na ufagio kama wafagiaji wa jiji ukiwa shule msingi. Umepiga jaramba maili kadhaa kuifata shule.Umekumbana na kashkashi za walimu "wanoko",ukiwaona tu bandama zilikuwa zinacheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.