Basso seleman
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 432
- 118
ukikaa na wanachuo utawahurumia jinsi walivyo na ndoto za kumaliza chuo na maisha kua kama ya messi vilee,yani ni fulu ndoto za abunuasiii.
hata mm nilkua ndoto hizohizo za abunuas nikiwa chuo sema mm Allhamdulillah nikamaliza chin ya j kikwete our dady tunae mmiss hiv sasa
sasa hawa wa mzee wa kazi amahakika kazi wanayo