Recent content by Bhukune

  1. B

    Tanzania meter gage trains are better than Kenya SGR trains.

    Do not depend on the propaganda from USA, the America is just creating some of the story to defeat the Chinese to Invest in Africa.
  2. B

    Mecca ndio mji bora duniani

    Allah Akbar
  3. B

    Mke wa mtu anataka mahusiano na mimi

    Acha kabisa kutafuta matatizo ya mke wa mtu, mwambie kwamba Dini yako haikuruhusu kufanya hivyo.
  4. B

    Analazimisha awajue ndugu zangu.

    Inaonesha yeye anakupenda ila wewe unapita tu.
  5. B

    Wanaume acheni kuzama chumvini, nafikiri sio salama. Hata wao wanawake wanajua hilo!

    Chumvini Hapafai na ni kinyume na maadili ya Dini zetu
  6. B

    Hata kama ni kuswali, ila huu si Ustaarabu jamani

    Kuwa na Subra, Swala huchukuwa takribani dakika 7 hadi Kumi, kumbuka kila mtu ana uhuru wa Kuabudu
  7. B

    Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

    Ruhu, Bhusimbete Kyang'ombe, Rorya Mara
  8. B

    Ukarimu wangu wakupitiliza umeanza kuniponza

    Hizo ni hisia zako tu, ikiwa hukuwa na nia mbaya huna haja ƴa kuwa na mawazo, ila ikiwa ndio tabia yako ya kunyatia wateja basi acha
  9. B

    Mama Mkwe wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi. Nimemwambia jamaa yangu ushauri wake...

    Achana na Dhambi hiyo ni mbaya na itakunyima uhuru kabisa. Mwambie Mimi sitaweza kudo na wewe mama.
  10. B

    Expansion joints kwenye miradi ya Ujenzi ni kitu gani? Tuendelee kujielimisha

    Expansion joint ni joint ambayo huwekwa kwenye majengo yenye Urefu au Upana unaozidi mita 30. Hii husaidia kuruhusu kutanika na kusinyaa kwa material kama Zege, Ukuta wa tofali n.k
  11. B

    Kalemani hapa solution kwa sasa ni IPTL au tusubiri mvua mwezi wa tatu 2018

    Mimi nafikiri Huko Tanesco kuna mpango wa hujuma dhidi ya serikali yetu, Viongozi waliangazie hili.
  12. B

    Mfanyakazi wa kike wa GGM ashikiliwa na Polisi kwa kumvisha Pete Mwanamke mwenzake

    Wote wawili Muowaji na Muolewaji wakamatwe na kufikishwa Koloƙoloni
Back
Top Bottom