duh! hii sio kama kazi nyingine dear, kazi nyingine hatukai kwa waajiri, tunakuja asubuhi, jioni tunaenda kulala na kula makwetu
Hivyo ligezo cha kukaa kwa mwajiri tuu, kinakupunguzia mshahara. Kwa huo mshahara inabidi uwe unakaa kwako, ili iwe kama kazi zingine,lol