hehe amekujaza nini?
Jamani we unadhani nini zaidi ya malove. Khaa!
hehe amekujaza nini?
Husninyo acha uchokozi bhana,mi yangu bado
Happy birthday Kapakabana
Mungu akuzidishie maisha mema na marefu
Amen
Happy birthday kabakabana.
View attachment 42957Kabakabana, may you stay strong to take an Excellent care of Excellent,
Jamani we unadhani nini zaidi ya malove. Khaa!
happy birthday for your exam.Nalog off
Happy birthday kabakabana.
hapo umenena kipenzi
Nimepita kuangalia kama kuna chochote kilichosalia kwaajili ya wachelewaji...
Happy birthday kabakabana. Mungu akupe maisha marefu yenye furaha.
Lol... Asante mpendwa, hizo pipi nifungie hapo kwenye hilo gazeti, tazichukua mda wa kuondoka ukifika.umebahatika na chochote kuna pipi hapa lol ahsante mpenzi