Unaweza kuwa na hoja, lakini unaweza kuwa na hoja ya kijinga kama ujinga mwingine:
1. Tanzania imewahi kuwa na magavana 8. kati ya hao Ma Dr (2), Prof. (2). Hivyo, yeye siyo Gavana wa kwanza asiyekuwa na PhD. Hata hivyo, tumewahi kuwa na wabobevu waliowahi kushika taasisi na nafasi kubwa na...
Hisa 2000 kwa bei ya soko leo ni 10,900 so itakuwa 20,900,000.
Hapo utalipa kodi kidogo na fee ya broker na fee ya DSE, 20m itabaki.
Nenda kwa broker aliyekununulia hisa hizo, au broker yoyote unayempenda. Mpe cheti chako cha hisa, mwambie akuuzie.
Ni hayo tuuuu
Ujinga mtupuu
Uwe na mpunga, manoti, mkwanja, money, njuluku, pesa
Kisha usiwe na stressss
Aiseeee, kila dakika mlingoti unasoma 5G
Hayo mengine mbwembwe tuuu
Hakuna upumbavu mkubwa zaidi ya huu.
Naamini sooner than later utakuja kuomba radhi kwamba ulitumika kama pedi.
Yule anayejiita mchunga kondoo kaonesha njia kwa kuanza kuomba radhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.