Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,415
- 30,132
kuna waliopewa mimba bila hata kuomba hela na hawajawahi kupewa pesaTutawapa na mimba sasa
kuna waliopewa mimba bila hata kuomba hela na hawajawahi kupewa pesaTutawapa na mimba sasa
Mmh hayasiamini kama ni kweli, sema wanajiunga michezo isiyolingana na vipato vyao hivyo wanajikuta asilimia kubwa wanaomba. Kwamba hawana kabisa hilo nakataa
Kuliko kodi ya nyumba?hakuna stress kama kukosa hela ya mchezo au vikoba...mpe tu usichoke mkuu
Yule wa simba au nimechanganya jina?Usimpe hela huyo, ashakuona bablai
Na hapa uko unasoma tu?Nimekuja kusoma comments tu![]()
Ndio. Hata hii yako nimeisomaNa hapa uko unasoma tu?
Kwan anajua kwenye account kuna kiasi gani hadi apange.... Me namwambia tu nimefua balaaNext time akija kukuomba pesa muambie Kuna issue unaifanya na hii pesa umeitenga kwa issue hiyo lakini unaweza kumkopesha.
Akirudi tena muambie dada hujarudisha ile pesa.
nayo ina stress yake piaKuliko kodi ya nyumba?