kitambi hakina dawa ya kudumu ila lishe ya kudumuDokta Ndodi alikuwa anaponda sana vitambi, kumbe ni njaa ilikuwa inamsumbua. Kwa sasa ana kitambi hatari, itakuwa hata dawa alizokuwa anatumia kutibu vitambi ni fake, kwani mbona asijitibu kwa hizo dawa?
Dokta Ndodi alikuwa anaponda sana vitambi, kumbe ni njaa ilikuwa inamsumbua. Kwa sasa ana kitambi hatari, itakuwa hata dawa alizokuwa anatumia kutibu vitambi ni fake, kwani mbona asijitibu kwa hizo dawa?