Nadeclare interest kwamba mimi nimehudhuria training ya TMT na ninafahamu yafuatayo
1.Hakuna mtu anayefanya biashara isiyomlipa of course TMT wana chao JP markets kwa kupeleka wateja kutrade na huyo broker This is totally understandable sioni tatizo juu ya hili.Hata audio ikiletwa haitabadili...
Natural selection mkuu kumbuka wanyama hawa wamekua wakiishi kwenye hostile enviroment kiasi cha kwamba wanyama waliosurvive ni wale waliokua na superior genes ambazo zimekua passed from one generation to another.si kwamba hawana vimelea vya magonjwa ila prolonged exposure ndio inawafanya...
Kutoka home studio hiyo ni bonge ya kazi,with minor corrections to your voice (sijui ndo wanaita pitch) utakua fayaaa.u might need to put a lil work on your harmonies pia ..trust me ni uchawi mkubwa sana kwenye music.Goodluck!
Habari njema mkuu,elezea kidogo tafadhali imetengenezwa na nini na inafanyaje kazi given the fact kwa sasa jamii iko makini na matumizi ya kemikali kwenye vyakula
Hapa nilipo nawaza kucut loss ya 500+,sina wa kumlaumu zaidi ya mimi mwenyewe sababu zinazonigusa moja kwa moja ni kuhold reds nikitumai trend itageuka na kutokutumia stop loss,u can have the best mentor in the game ila usipokua na discpline na ukubali kujifunza na kuimprove kwa kila kosa...
Tanzania eeh..... nchi yangu oooh,... have you guys tried to reserve your time and read abt forex?( most of you fail before even finishing the first book let alone executing a single live trade)so u dont wanna discourage people who are genuenly interested in knowing how forex works.U mustn't...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.