Yaaan kila kitu daaaar ndo maana foleni haziishi,hapa mafuriko,hapa joto,hapa daladala,hapa mwendokasi, hapa tren, ukisogea huku bahari, pale ikulu,mbele kidogo bwabwa hilo plus wahaya poa,leo tena wifi Huyo tena bure na tecno yangu naamia dar huku mbeya sijui lini coca wataweka