Hadhi gan unazungumzia kupata shikamooo mtaan au tunaangalia pesa mfukoni kwa mfano kada za chini kama ualimu private wanapata pesa ndefu zingine chini ya serikali ni uwajibikaji wako tuuni kweli unavyosema, na huo mtazamo nimeangalia wastani
mf. katika watu 500 wenye kazi binafsi, wangapi wana hadhi sawa na mfanyakazi wa serikali hata wa kada ya chini?