Recent content by bhabha bhuhemba

  1. bhabha bhuhemba

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    _________________________
  2. bhabha bhuhemba

    Wanawake msikate viuno kama ugomvi

    Watoto hawayajui haya
  3. bhabha bhuhemba

    Ukimya wa Lowassa kwa haya yaliyotokea uchaguzi mdogo wa Udiwani ni maana yake?

    Ngoja niende ili tukae chini tuyajenge hayo mkuu, akirudi toka Kenya nijuze.
  4. bhabha bhuhemba

    Nahitaji kuoa

    Cheupe ulimuachaaàaaa?
  5. bhabha bhuhemba

    Nyimbo za utotoni za zamani ambazo watoto wa leo hawazijui

    Daah, utoto ulikuwa mzuri sana maana, asaivi tuna kizazi cha bongo fleva
  6. bhabha bhuhemba

    Nimegundua mke wangu ana watoto wawili nje

    Nimeshiba kwa huo ushauli, niliamua kumuacha lakini iliniwia ugumu maana tayari anaujauzito wangu
  7. bhabha bhuhemba

    Nimegundua mke wangu ana watoto wawili nje

    Hapo ndo cjaelewa , nilee kama wa kwangu au maana watoto wanakaa kwao na mke wangu huyo
  8. bhabha bhuhemba

    Nimegundua mke wangu ana watoto wawili nje

    Kwahiyo ushauli wako nni mkuu haswa juu ya hili
  9. bhabha bhuhemba

    Nimegundua mke wangu ana watoto wawili nje

    Lakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto, Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu, Upendo umepungua from higher to lower point, Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau...
Back
Top Bottom