Ni zipi faida na hasara za kuchepuka?

Ni zipi faida na hasara za kuchepuka?

24b9a2a15bc1df75176447c96c8b39cf.jpg
 
Ukiwa na mchepuko hata kama mkeo anakuzingua haiwezi kukusumbua akili maisha yatasonga kama kawaida
 
Faida -Afya njema, kuimarika Kwa uchumi,kuimarika Kwa ndoa, heshima Katika jamii.
Hasara -hamna
 
Hakuna faida, utavuruga familia, utaharibu heshima yako kwa jamii, utaambukizwa magonjwa ya zinaa na ukimwi na kupoteza fedha ambazo zingekusaidia kwenye mambo mengine!
 
Back
Top Bottom