Recent content by BF SUMA LIMITED

  1. B

    Ugonjwa wa Kisukari wazidi kutesa nchi za kipato cha chini na kati

    •Unamfahamu Mgonjwa Anayeumwa KISUKARI?? •Awe Ndugu yako, Rafiki, Jirani, Mme/Mke wako Au Jamaa Yako??? •Je, Unajua Kuwa Yupo Kwenye Wakati Mgumu Kiakili, Kisaikolojia, Kiafya nk, Na Amekata Tamaa Kutokana Na Tetesi au Majibu Kuwa hawezi Kupona Kabisa Ugonjwa Wake? •Unaonaje Kama, Ukimpa...
  2. B

    Uwingi wa damu mwilini

    Nenda Aghakhan Ocean Road
  3. B

    Kiuno kinanitesa, napata maumivu makali

    Pole Sana Kwa Changamoto yako ya viungo na Mifupa. Ushauri Wangu. Naomba Ufanye Uchunguzi wa Kitaalam ili kubaini Tatizo, hii itakuwa njia rahisi ili Kupata matibabu sahihi, BF SUMA tunavyo virutubisho lishe kwaajili ya matibabu kwa Changamoto yako. 1•ArthroXtra; Hii itakusaidia kuhuisha...
  4. B

    Mapokezi ya Watoto wa Diamond Dar ni kufuru, Zari akataa kutumia ndege, awakodia helkopta

    Sijui kwa nini baada ya kusoma huu uzi nikamkumbuka Kobe Bryant... #GodForbid..
  5. B

    Kufuatia kauli ya WHO na maono ya Rais Magufuli kuhusu kuizoea Corona naomba shule na vyuo vifunguliwe

    Kama kukariri darasa wacha akariri tu, ila sitokaa nimruhusu kwenda shule katika mazingira ambayo sitoweza kuyamudu. je umezifikiria familia ambazo hata mlo mmoja kwa siku ni shida afu useme wamudu gharama za hizo mask na gloves? bado hujanishawishi
  6. B

    Sijui kama nilikosea kwa kufikia conclusion hii

    huyu nyambizi korona si wa kumbeza hata kidogo...
  7. B

    Ubaguzi katika kuwazika wanaokufa kipindi hiki!

    Anaiona kama kauli nyepesi, ngoja yaje yamfike shingoni au ndugu yake wa karibu ili naye asikie uchungu wanaoupata wale ambao ndugu zao wamezikwa huko anakokuita porini
  8. B

    Nchi za Magharibi zazidi kushangazwa na kinga waliyokuwanayo WaAfrika dhidi ya virusi vya Corona

    Ni sawa na mchawi anayekazana kukuroga kila siku lakini haurogeki, anachukia sana...
  9. B

    Corona Virus: Pray for Italy and Iran

    anza kuwafatilia utajua wapi walipomkosea Muumba wao. Hali ni mbaya
  10. B

    Ni wapi naweza pata matibabu ya OZONE hapa nchini?

    Ndio maana alikuwa anatafuta hii tiba... Jamani mbona wako watu wenye HIV na wanaishi. Je angekuwa na saratani? anyway yeye anajua mwenyewe
  11. B

    Kiuno kinanitesa, napata maumivu makali

    Yes iam, Karibu tukuhudimie.
  12. B

    Bei ya mashine ya kupima sukari

    Karibu tukuhudumie, Karibu inbox
Back
Top Bottom