Uwingi wa damu mwilini

Uwingi wa damu mwilini

asante mkuu,,kumbe nihiyo mbon nmeishaitumia nilipoishiwa dam mara yakwanza lakn wap cjaona mabadiliko

Mkuu pole sana, naona una tatizo la msingi. Haiwezekani uhangaike hivyo alafu usipate suluhisho. Nakushauri tafuta hospitali au maabara unayoiamini, fanya vipimo vyote muhimu kwa mwili wako ili ujue kama una ugonjwa nyemelezi ambao unasababisha hilo tatizo. Ni vizuri ukashughulikia tatizo lenyewe kuliko matawi.
 
je ukiwa na moyo mkubwa nalo nitatizo lakupunguza dam?
 
Hapana Blood Group ni zile za ABO e.g A,B,AB na O zinaweza kuwa -ve au +ve e.g A+ au A-!
Watu wengi ni Blood Groups zilizo +ve.
mkuu haematologist swala LA damu kuwa nyingi Mara nyingi halina medical important, swala la damu kuwa nzito kidogo Nina ukakasi nalo uki niambia platelet's zikiwa nyingi au other blood clotng factor zikiwa higher kama factor iii kidogo ta kuhelewa swala la stroke na HB pia lina nipa ukakasi dadavua kidogo niku some hematologist .

credit kwako umefafanua vizur,
 
hauwezi kuwa na ndamu ndogo afu FBP ikaonesha iko normal!
Walau kipengele cha Hb kitakua chini!
Lazima kuwepo na sababu kwa nn damu yako inakaa chini!
Au iron reserves zako ziko chini?
Ungefanya na Iron studies!

Pili ukiwa na tatizo la hivi inakubidi umeze Dawa za kitaalamu za kuongeza damu e.g Ferrous Sulphtae + Folic Acid (FeFol) usiteegemee peke yake eti mboga za majani, ili uweze kurejeshe Iron reserves zako inaitaji utumie hizi dawa kwa 6-12months non stop!

Je hauna ugonjwa mwingine au hauna dawa unazotumia za mda mrefu?
Ata mimi damu imepungua alafu natumia dawa za asidi mwezi sijui ni kisababishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vingine vingi vya kupunguza damu ambavyo hujapima , minyoo, hematological malignancies, multiple myeloma fika hospitali kubwa wafanye vipimo vya kutosha FBP peke ake haitoshi.
Mkuu kwa Dar es salaam ni hospital zipi zinaweza kupima hayo mambo kwa usahihi zaidi?
 
wingi wa damu au kwa lugha ya kitabibu ni Haemoglobin(Hb)!
Kipimo chak huwa katika SI Units za gm/dl i.e grams per deciliter
Kazi ya Haemoglobin ni kubeba Oxygen kwenda sehemu mbali mbali za mwili na kiungo muhimu kinachoitaji Glucose na Oxygen nyingi ni Ubongo ila hata misuli huitaji oxygen ili kuunguza glucose ili uweze kupata Nguvu e.g Hata gari uitaji air/oxygen kuunguza Mafuta ili gari lipate nguvu ya kutembea.

Ndo maana ukiwa na damu chache/Hb ndogo unakua mchovu unasikia kizunguzungu na wakati mwingine hata kuzimia.
Normal Hb level utegemeana sana sana na jinsia e.g kwa mwanamke Normal level yao iko chini zaidi ukilinganisha na wanaume.
Pia normal levels utegemeana na teknolojia inayotumika mahabara moja na nyingine!
Ili si kuchanganye sana chukua kwamba normal Hb level ni 12-16.5gm/dl

Damu yako inaweza kupungua iwapo unaumwa kwa mda mrefu,Kupoteza damu sana e.g ajali au kwa wamama wakati wa kujifungua au wanawake wanaoingia period zilizopitiliza kawaida,tatizo la kutokula vyakula vyenye madini chuma kama mboga za majani na maini.

Damu chini ya 12g/dl kwa wanaume au 11g/dl kwa wanawake hili ni tatizo huitwa Anaemia
Damu ikiwa chini 6g/dl utaitaji kuongezewa damu au wakati mwingine ukipoteza damu nyingi ambayo imepunguza 2g/dl kutoka kwenye normal yako itakubidi kuongezewa damu.

Damu juu ya 6gm/dl---11gm/dll kama haikupi shida yoyote inaweza kutibiwa kwa kula vyakula vyenye madini chuma(Iron) kama mboga za majani,maini n.k au ukatumia dawa za kisasa zenye madini chuma ndani.

Damu nyingi ambayo inatishia afya yako kwa kitaalamu Polycythemia ni pale unapokua na Hb juu ya 16.5gm/dl kwa mwanamke au 18gm/dl kwa mwanaume.

Damu hii inakua nzito kiasi kwamba inakua sluggish kwenye mishipa na inaweza kuganda na kuenda kuziba mirija kama ya ubongo na inaweza kukupa stroke. Unaweza kulinganisha hii na maji na Oil kipi ukimwaga kitakua kinatembea kwa urahisi.

Ngoja niishie hapo nsikujaze na mambo ambayo hayatakusaidia!

kwa sasa nakaribisha maswali!
Zipi dalili za damu nyingi?
 
Back
Top Bottom