Yes iam
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 258
- 370
Habari zenu watabibu,
Nina miaka 27 sasa, mimi ni dereva wa gari. Nahisi ndiyo tatizo langu lilipoanzia, seat ya hili gari inagonga sana ukijumlisha na njia ninayoendeshea. Twende kwenye maada sasa.
Yapata mwezi sasa kiuno kinauma sana nikiwa nimekaa kwa mda mrefu nikiinuka tu kiuno kinakaza sana kinauma hadi nashindwa kusimama inabidi nikae tena.
Nilienda Pharamcy kuna vidonge walinipa nimeze lakini havijasaidia. Je, nifanyaje? Nitumie dawa gani niondokane na hili tatizo nina siku ya 5 sasa sijafanya kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina miaka 27 sasa, mimi ni dereva wa gari. Nahisi ndiyo tatizo langu lilipoanzia, seat ya hili gari inagonga sana ukijumlisha na njia ninayoendeshea. Twende kwenye maada sasa.
Yapata mwezi sasa kiuno kinauma sana nikiwa nimekaa kwa mda mrefu nikiinuka tu kiuno kinakaza sana kinauma hadi nashindwa kusimama inabidi nikae tena.
Nilienda Pharamcy kuna vidonge walinipa nimeze lakini havijasaidia. Je, nifanyaje? Nitumie dawa gani niondokane na hili tatizo nina siku ya 5 sasa sijafanya kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app