Nina ndugu yangu ni mgonjwa wa sukari. Nahitaji kumnunulia mashine ya kupima. Ipi ni aina bora ya mashine ya kupima sukari lakini inayouzwa kwa bei nzuri/nafuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina ndugu yangu ni mgonjwa wa sukari. Nahitaji kumnunulia mashine ya kupima. Ipi ni aina bora ya mashine ya kupima sukari lakini inayouzwa kwa bei nzuri/nafuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana. Naomba muda niwasiliane na ndugu yangu(mgonjwa). Nitampa mawasiliano yako ili akutafute.