Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Hawaweki wazi
Hawaweki wazi
NomaHatari sana
Rafiki jana anasema wanaanza msako kuwapima majumbani, ni muda sasa waliambiwa wasitoke ndaniHivi Italia inakosea wapi? Jana peke yake wamekufa watu 800!
Hivi Italia inakosea wapi? Jana peke yake wamekufa watu 800!
Mkuu sisi ndo tunahitaji maombi. Wenzetu serikali zao zinajiweza. Ukifika huku kwetu na kuanza kuua itakuwa balaa miili itaozea ndani.
Let's pray for them,,
Hivi Italia inakosea wapi? Jana peke yake wamekufa watu 800!
Kwa hiyo haujafika?Mkuu sisi ndo tunahitaji maombi. Wenzetu serikali zao zinajiweza. Ukifika huku kwetu na kuanza kuua itakuwa balaa miili itaozea ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ambayo imepata pigo kwa ugonjwa wa Corona basi Italia ni nchi ya kuhurumia
Ungawa nchi mbalimbali duniani wanajitahidi kupambana na huo ugonjwa ila kwa Italia Mungu isaidie ,watu wanakufa kama kuku
Italy ni nchi iliyoendelea kiuchumi lakini bwana,asikwambie mtu,pamoja siku za mwanzoni kukimbiza sanamu ya Bikira Maria kuzunguka nchi ya Italia lakini imeshindikana,kila dakika mtu anakufa kwa Covid 19
Kuna nchi inaitwa Iran ni masikini jeuri ambaye hataki kuwa wazi katika visa vya Corona lakini jumuiya ya Kimataifa isipoingilia kati Iran itateketea vibaya mno
Matamshi ya Trump kwa China yazingatiwe kuwa ugonjwa ulipokuwa unaanza China ilikuwa inaficha ficha badala ya kuweka wazi ili dunia ijiandae kupambana nao sasa hasara,vifo China alaumiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi nyingi zilizoendelea wazee wengi mfano italy mapadri karibu 60 wamefariki na ukiwaangalia wote hao ni wazee wa miaka 60+ kwa kuwaangalia tu
Sent using Jamii Forums mobile app