Mahakama sasa hivi hazina kazi kabisa DDP ndio mwenye mamlaka ya nani atoka au asitoke atakama hana atia au anayo hatia na kichoangliwa sasa hvi ni fedha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la umeme mkoa wa Morogoro Kata ya Mkundi Mtaa wa Mlimani shida ipo wapi kutuletea umeme tuna shida ya umeme sana kila mwaka mnatudanganya mnaleta nguzo lakini ni uongo mtupu. Mnakwama wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.