Hii inatokana na wimbi la wabunge na madiwani wa vyama vya upinzani kukimbia vyama vyao na kuhamia CCM.
Tumeshuhudia wabunge na madiwani wa CHADEMA, ACT, CUF wakihamia CCM kwa kasi kubwa. Hii inatoa picha kuwa vyama vya upinzani haviaminiki kwa wapiga kura wala wao kwa wao hawaaminiani.
Na hii inatoa picha kuwa kutakuwa na anguko kubwa sana la wabunge wa upinzani, sidhani kama kutakuwa na wabunge au madiwani wa upinzani.
Vyama vya upinzani inaonyesha vimeishiwa punzi kabisa, wakati huu ndio wenyewe wa kujipanga na kujizatiti lakini kwa haya yanayotokea si ajabu tukashuhudia hata wenye viti wa vyama na makatibu wakihamia CCM.
CCM oyeee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshuhudia wabunge na madiwani wa CHADEMA, ACT, CUF wakihamia CCM kwa kasi kubwa. Hii inatoa picha kuwa vyama vya upinzani haviaminiki kwa wapiga kura wala wao kwa wao hawaaminiani.
Na hii inatoa picha kuwa kutakuwa na anguko kubwa sana la wabunge wa upinzani, sidhani kama kutakuwa na wabunge au madiwani wa upinzani.
Vyama vya upinzani inaonyesha vimeishiwa punzi kabisa, wakati huu ndio wenyewe wa kujipanga na kujizatiti lakini kwa haya yanayotokea si ajabu tukashuhudia hata wenye viti wa vyama na makatibu wakihamia CCM.
CCM oyeee!
Sent using Jamii Forums mobile app