safi sana komando Jd wale wambea wa jahaziii kazi wanayo wapiga domo wa radio mawingu watachelewa sana kupata kitu kama hicho. Big up mdada i salute u#team anaconda#
POLE SNA MKOPO KWA TANZANIA IMEJAA UFISADII UMEKOSA MKOPO ILA CHUO NI ARUSHA HONGERAAAA
The student with Index number 'S1529.0037.2010' did not secure a higher education loan for 2013/14 academic year.
pole sana ndugu yangu kwanza hata mimi najiuliza hawa bodi ya mikopo Tanzania ipo kwa jaili ya kina nani?kama sisi watoto wa masikini tunaomaliza shule za kata tunapata shida namna hii kweli. mimi hapa nimechaguliwa mzumbe sina baba wala mama na nimeweka viambatanisho vyote lakini hata meal...
huyu ameshindwa kutambua na inaonekanika maetumiwa na magamba kwani hujui heche mwenyekiti wa baraza la vijana la CDM ALIKWENDA KUMSALIMU JUZI MOI WACHA KULETA HADITHI ZA KUFIKIRIKA HAPA LETA MADA ZA MAANA MJUMBE. WEWE NDIO WALE WALE WALE TU WAPIGENI NDIUO KAULI YENUI MANA MAGAMBA YAMEANZA...
baang baang hoja imepita huyo kwani mpinzani anajipendekeza bora hizo pesa angenitahidi kurudisha heshima ya chama na kujitahidi kukijenga kuanzia shina
kuwa na fikra Acha kuendekeza ukabila. Karne hii ni kuongele ukabila mjinga na mwenye ufinyu wa fikra ndio anaongela mambo hayo mbwida wewe. Jitambue ukiwa kama kijana na upende kujiheshimu si kila mtu akileta jambo atakuwa mchaga au CDM Kuna watu hawapendi ujinga na ukweli unauma siku zote na...
naona unaota mchana tena jua kali go to hell with capital letters. Maandazi wewe hujui ulinenalo njaa inakusumbua. Mtapigana lakini ipo nguvu ya umma mtanyanyasa sana lakini." Tunaanza na Mungu na kumaliza na Mungu"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.