Usiongee kitu kama hukijui sawasawa, haiwezekani kuainisha majukumu yote ya vyombo vya ulinzi na usalama kama matangazo ya biashara kwa sababu za kiusalama.Ukitaka kufahamu zaid tafuta wasemaji wa vyombo husika wakueleweshe na sio kuropoka.
Angalia mazingira ya utendaji wao ndo tofauti ilipo.Daktari anafanya kazi kwenye mazingira salama zaidi kuliko hao walinzi wa Taifa ambao wana majukumu lukuki ikiwa ni pamoja na kuilinda mipaka ya Nchi,kutulinda mimi na wewe na mali zetu.
Hii haitaji akili isipokuwa Kumkiri Yesu Kristo kwa kinywa chako kuwa ni Bwana na kuamini moyoni mwako kuwa Mungu alimfufua katika wafu utaokoka.Baada ya hapo utapokea nguvu ya Roho mtakatifu Yeye atakujulisha na kukutia katika kweli yote.
Ngoja waje walio tayari kuuza nafsi zao kwa mashetani kisa pesa.Angalizo kwa shetani hakuna cha bure sema mtoa mada hajaweka wazi hayo masharti ni pamoja na kutoa kafara mtu mwenye uhusiano wa karibu na wewe mfano mzazi au mtoto.
Mkuu swala la Dunia kuwa na uovu ni maamuzi ya mwanadamu mwenyewe sababu Mungu alitupa utaratibu wa namna ya kuishi lakini sisi tumeikataa sheria yake na kumbuka kuwa Mungu ni wa haki.
MUNGU wetu sisi anajipigania mwenyewe na ndio maana alisema kisasi ni juu yake Mwenyewe.Kwahiyo hata leo mtu awaye Yeyote aseme vibaya atakavyo juu ya Yesu ,mtu aliyeamini hawezi kubishana au kugombana na mtu huyo sababu maandiko matakatifu yamekwisha kutueleza cha kufanya.
Kiukweli kipindi cha Mzee RUKSA" maisha yalikuwa mazuri,kwakuwa pesa ilikuwa inapatikana kwa urahisi sana pia Huduma za kijamii zilikuwa si haba.Tuliosoma kipindi kile tulikuwa na uwezo wa kujinunulia japo madftari kwani yaliuzwa senti tano kwa yale ya mistari mikubwa na yale ya mistari midogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.