samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Hivi unaelewa majukumu ya Majeshi yetu?
Unamlinganisha Mwanajeshi na Daktari!!!
Acha kabisa Masihara.
Viongozi wote wa Kisiasa wanapata Jeuri ya kutoa Matamko kwa sababu ya Jeshi.
Mkuu hakuna cha umuhimu wowote, kila mtu ni muhimu.... Askari hazalishi, je nani anamlipa mshahara, tunawalipa mshahara ili mtulinde tukiwa tunafanya kazi, kazi ya askari ni kutulinda na kuhakikisha kuna usalama ili tuzalishe kwa amani naye familia yake iende choo... ni kama baunsa tu club au bar anawalinda wanaofanya starehe ili yeye alipwe mshahara na huu ndio ukweli....