Nikiwa raia mwema napenda kukujulisha kuwa Kuna klabu ya pombe za kienyeji mita kumi kutoka kituoni kwako, klabu hii ipo katikakati ya Makazi ya watu, na ilipo siyo rasmi, klabu hii inahatarisha afya ya raia kwa mazingira yake machafu, na mkusanyiko ambao pia ni hatari kwa janga hili la Corona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.